Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana master. Ila kuna sehem nimeona unatembeza sana dislike, relax π π πWakuu za sahizi
Nimekuwa nanyi since 2021 December leo nimeamua kujiunga rasmi ππ
Mnipokeee please
Huyo jamaa kaniuzi ndo maana nimemfanyia hivyoKaribu sana master. Ila kuna sehem nimeona unatembeza sana dislike, relax π π π
Usijali mkuu, id ya zamani ni ipi?Wakuu za sahizi
Nimekuwa nanyi since 2021 December leo nimeamua kujiunga rasmi [emoji16][emoji16]
Mnipokeee please
Hiyo ni siri yangu utajua tu ππππUdijali mkuu, id ya zamani ni ipi?
Nimeona speed yako si mchezo
CAG yupi huyo wa ma Trillion auKaribu... Unamjua CAG wewee
Usikute ni Genta....π€£Hiyo ni siri yangu utajua tu ππππ
Haha navyo mchukia huyo mbuzi haiwezekani hiyo mkuuuUsikute ni Genta....π€£
Hahaha nimekufahamu tayariHiyo ni siri yangu utajua tu [emoji573][emoji573][emoji573][emoji573]
Endelea kuotea tu ππ utanipatiaHahaha nimekufahamu tayari
20Karibu sana..... Una miaka mingapi kwanza
Done sorry lkn ππππππ―πNaomba futa hi picha
[emoji15][emoji15][emoji15].... Kasome kwanza huku sio fesibuku..
Nipo chuo mkuuu najitegemea usidhani nipo form 2[emoji15][emoji15][emoji15].... Kasome kwanza huku sio fesibuku..