Mzee wa ice bucket, hio Jina ni nzuriWakuu na product yangu mpya nataka kuingiza kwenye soko letu la Africa mashariki. Itakuwa ikitengenezewa hapa EA. Hiyo branding ya label yake inavutia.?? Je jina la REST ni zuri??. Its a alcoholic drink. Nipeni mahoni wadau. Afrika Mashariki ya viwanda tuitekeleze kwa vitendo wanangu wa JF kwa kushirikiana kimawazo.View attachment 559828
Tatizo ni linanikumbusha Jina "Rest in Peace". sijui kwa niniWakuu na product yangu mpya nataka kuingiza kwenye soko letu la Africa mashariki. Itakuwa ikitengenezewa hapa EA. Hiyo branding ya label yake inavutia.?? Je jina la REST ni zuri??. Its a alcoholic drink. Nipeni mahoni wadau. Afrika Mashariki ya viwanda tuitekeleze kwa vitendo wanangu wa JF kwa kushirikiana kimawazo.View attachment 559828
Kwani tatizo nini hapo? Labda ndio nia ya hicho kinyaji [emoji23]Tatizo ni linanikumbusha Jina "Rest in Peace". sijui kwa nini
Mzee, Inategemea na target market yako, kama ni watu wa juu, lazima product iwe exceptional kwa kila kitu packaging mpaka liquor. Kama kawaida, itabidi kucheza na profit margins. Not too posh, not too cheap.Wakuu na product yangu mpya nataka kuingiza kwenye soko letu la Africa mashariki. Itakuwa ikitengenezewa hapa EA. Hiyo branding ya label yake inavutia.?? Je jina la REST ni zuri??. Its a alcoholic drink. Nipeni mahoni wadau. Afrika Mashariki ya viwanda tuitekeleze kwa vitendo wanangu wa JF kwa kushirikiana kimawazo.View attachment 559828
ThanksMzee wa ice bucket, hio Jina ni nzuri
πππππ For me I meant rest that of relaxing. Ukifika bar unasema nipatie REST nne hapo.Tatizo ni linanikumbusha Jina "Rest in Peace". sijui kwa nini
Lounge lager sounds good. Hi pombe haitengenezwi kwa ingredients zinazotumika kwenye beer. Its different but somehow sweet like Reds. Alcohol iko juu kidogo at 6% But from it tutatengeza pia light ya 4% alcohol level. Can you give me another good name. Please.Good initiative, lakn that name...it is not creative enuff. It will give the impression of a cheap, low- grade product.
If I had an opportunity like u to launch my own beer, I would call it "Lounge Lager".
Good question. Its like how you see bottled smirnoff ice. Just sweet alcoholic drink. Not what you have mentioned.is it Wine, Beer or Spirit?
Red Wine or White Wine?
Whiskey, Brandy, Vodka or Gin ama Chang'aa
how much alcoholic %age?
Mimi target yangu ni watu wakipato chakati(middle income). Pili itakuwa same price na beer.Mzee, Inategemea na target market yako, kama ni watu wa juu, lazima product iwe exceptional kwa kila kitu packaging mpaka liquor. Kama kawaida, itabidi kucheza na profit margins. Not too posh, not too cheap.
Kiukweli zinaumuhimu sana. Hii JF na mitandao mingine inabidi tuitumie pia katika kushirikiana kukuza wigo waki biashara. Always my target in doing business is on EA market. Ndomaana nataka pia na wakenya wanishauri. They are very good at branding. Msaada wao nahuitaji.Mgekuwa mnaleta Uzi kama hizi mgepunguza vumbi la TZ v KE
OK, lakini nadhani utakuwa unaingilia soko ya bia kwa kuweka bei sawa na bia. Ninavyoona mimi utajipa mlima wa kupanda kwasababi bia tiyari ina loyal customers wake ambao wakitaka kikali watanunua whisky, gin or vodka. Nadhani ungenda a bit up (price wise), sio juu sana lakini kiasi cha kuonyesha utofauti wako. Anyway huo ni ushauri tuu, biashara ni kujaribu ili kulisoma soko.Mimi target yangu ni watu wakipato chakati(middle income). Pili itakuwa same price na beer.
Mature lagerLounge lager sounds good. Hi pombe haitengenezwi kwa ingredients zinazotumika kwenye beer. Its different but somehow sweet like Reds. Alcohol iko juu kidogo at 6% But from it tutatengeza pia light ya 4% alcohol level. Can you give me another good name. Please.
ITAKUWA KAMA BANANA TU .TUMIA ZILE CHUPA ZA SAVVANAHPia nataka nitumie green bottles kama zile za Heineken or Windhock.View attachment 559961