Wakuu na product yangu mpya nataka kuingiza kwenye soko letu la Africa mashariki. Itakuwa ikitengenezewa hapa EA. Hiyo branding ya label yake inavutia.?? Je jina la REST ni zuri??. Its a alcoholic drink. Nipeni mahoni wadau. Afrika Mashariki ya viwanda tuitekeleze kwa vitendo wanangu wa JF kwa kushirikiana kimawazo.