Haha inachekesha kuona umeandika kishabiki lakini sio ki-mantiki. Leo ni siku ya pili gari moshi la kenya linaendeshwa kwa hasara maana gharama zote mpaka hivi sasa na kwa kipindi chote cha mwaka mzima ni ruzuku. Hiyo bei ya Shs 50,000 sio gharama halisi, hata nauli za abiria sio halisi, ni ruzuku ndio inashikilia mradio huo. Wachina wamelalamika mnavyo shusha bei mpaka mradi unapoteza maana yake kalisi, lakini serikali ya Jubilee imeziba masikio na kutwanga mguu.
SGR allocated Sh15.5bn ‘subsidy’ for operations
Kenyatta ameenda na bakuli China lakini akasahau kwaambia wachina kama jirani zake Waganda na wao wanataka reli. matokeo yake mchina kawakaukia Waganda eti mpaka kenya ione faida ndio itawakopesha, kwa maana nyingine Mchina ameshaaza kuona reli ya Kenya inaweza isizae matunda kutokana nchi ambazo Kenya ina zitegemea wameshaanza kufikiria plan B.