New recruitment trend 1 post 1000 shortlisted


Nahisi we ndo hujui unaloliongea,huwezi kua na akili ukasema eti watu wame apply 1000 wote wame qlfy basi unawaita wote,huu ni ujinga kheri hata wakiwa 20 sawa sio 1000,acha kutetea ujinga wewe
 
NSSF nafasi 2 wanaita watu 1500 halafu kila mtihani una maswali 30...sasa najiuliza kama wameshindwa kuchambua watu je, watawezaje kusahihisha mitihani yote hiyo? Huo ndio uwendawazimu tunaoukataa siku zote. Na pale NSSF asilimia 80 wanachukua waislamu tu.
 
Upuuzi wa hali ya juu, hakuna professionalism. Kama qualifications ni ndogo kiasi cha kuruhusu maelfu ya watu kufikia minimum qualifications basi iteni ishirini randomly kwenye interview hamuwezi kukosa atakayewafaa.
 

Asante sana kaka,yana hapo ratio ni 1:750 hivi kwakweli kwann usumbue watu hv?mana wengine wanatoka mikoani kwann uwasumbue kuja mpk dar wakati kazi yenyewe ni ya bahati nasibu?huwezi kusahisha mitihani yote kwa umakini na ukasema umepata mtu bora katika watu 750,no way huu ni ujinga kabisa!
 
mmmh wenzenu tulishaacha kutafuta kazi kozi full undugulization huko......jiajiri kaka..
 
Jana waziri wa kazi kasema idadi ya wasomi ni wengi kuliko kazi zilizopo...so serikali inapambana na ombwe hili. Nawakilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…