New selected Students to join TEKU

hiki chuo hata wangenipa nafasi ya bure nisingeweza kwenda bora niende AMUCTA
 
ni kwel bt yangekupaxa kumwmbia bb au mm ako mzaz mind ur own conxaxe idiot
vc udm
 
Wanajamii msaada tafadhal jaman kuangalia hapo kama yupo Ezra k mhegele S0447/0111/2009
 
Hawa teku mbona mambo yao nusu nusu wamesema joining instructions zipo kwenye web yao, nimesachi kila kona, bila bila

ndugu tembelea web yao yaani http://www.teku.ac.tz utayakuta humo, mimi nimedownload humo ila ntajarbu kuiupload.
 
Tarehe 16-22 Sept ndio usajili 1st year.

mwl hiyo tarehe umeitoa wapi? Soma kwenye joining instruction utaona. First year wanareport tar 23/09/2013. Kuanzia tar 23 hadi 28 ni Registration na Orientation week. Soma vizuri utaona.
 
hiki nacho chuo? Makubwa


"Build And They will Come! The Story Of The First Four Years Of Teofilo Kisanji University"


Hiyo ni Title aliyofanyia research, Dr anayenisimamia research Yangu ya M.A in Ed.
 
TEKU rekebisheni hili neno hapo chini------hilo neno si la kukosewa kwenye Vision Statement hapo kwenye website yenu

Our Vision Statement
The aim of the University is to be a centre of excellence for acquiring proffessional skills through training, research, consultancy, community
 
vijana karibuni teku,chuo kipo mbeya jiji,maeneo ya block t,unashukia soweto bus stop,unaweza kunyooka na lami kwa miguu au kama umechoka saana unajipandia pikipiki au bajaji,kama kwenu zipo hata taxi unajichukulia,lakini ni karibu sana ukitoka main road,habari za tarehe ya kuripoti wewe download joining instruction,kwa njia ya mobile ni ngumu kuipata kama cm yako haina mobile pdf reader,kama vp ingia internet cafe au kama una laptop ni safi zaid.jipange vyema kifedha,kama boom likichelewa huwa hapatoshi,ukiripoti na pesa kama 1m ni vyema sana kama wewe ni wa heslb,lasivyo majanga.halafu kuna uwezekano mkalazimishwa kukaa hostel,be ready 4anything.lakini kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.hapa chuo kikuu bwana! mambo ya kupelekeshana hayana tija.hao wasemao TEKU sio chuo ni matahira na nguruwe pori,hawana jipya kichwani,kila taasisi kuna majanga yake,mema na mabaya hayakosekani,pimbi mwingine akasema eti ni cha kata,------- kabisa,tunalipa karibia 2m halafu unabinua magego yako we mwehu nn?.
 

hahahahaha kwa UDSM tunalipa elfu sabini.
 
Haya ndugu zangu karibuni TeoDON!
Ntawaonyesha mpaka chimbo la kula mihogo,maharage,sungwe na nyanya chungu!
Mi nipo 2yrs hapa BEDMATH!
Achaneni na hao wenye wivu njooni tulisongeshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…