Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanaachia Nyimbo kila wiki we unasemaje?!huuo hapo MrFlavour na video zake kwa siku mojaNaona anazidi kupotea tu
Halafu ngoma zake hazidumu kabisa hivi sasa
Nyimbo tatu mfululizo halafu hakuna hata moja iliyoshtua Tanzania ni dalili mbaya kwa diamond
Mwisho huo vepee?!wasifike kina Saida kalori aje afike Diamond?!endelea kuhate maana tushawazoea,mwanasheria kilazaDomondi hana jipya tena, ameshafika mwisho. Sasa tumerudi kwa Saida Kalori
Domondi hana jipya tena, ameshafika mwisho. Sasa tumerudi kwa Saida Kalori
Bila ya Diamond kufanya wimbo wa Salome huyo Saida msinge fikiria kabisa kurudi kwake.Domondi hana jipya tena, ameshafika mwisho. Sasa tumerudi kwa Saida Kalori
Ni kwasababu amefanya sampling beat ya Fall by Davido.Hatimaye Laizer kababilika upande wa beat ipo deep sana ili beat utasema kaligonga Del B au Krizbeatz