Dr Slaa hafai kuwa Rais na hii ni kwa sababu urais ni zaidi ya kufyatua mabomu Mwembayanga.
Juhudi zake jimboni si za kubeza hata kidogo hata hivyo urais sio tu hawezi bali hapati na hasa ukizingatia chama atakachogombea si chama cha siasa ni genge la wabangaizaji wa mjini tu
Dr Slaa ni mwanasiasa makini na wa wakati wake. Ameonyesha umahiri mkubwa katika kuelezea kile anachokiamini bila hofuuu... TUNAMWIHITAJI KAMA JAMII..Kama dalili zinazoendelea zitakuwa ni zile zile zinazotarajiwa basi gazeti la Raia Mwema na Dr. Slaa wameanza kumulikwa kwa kurunzi kali zaidi. Raia Mwema kwa kuanza kuchukua nafasi ya magazeti yenye kuthubutu zaidi na taarifa za kina za uchunguzi na uchambuzi usiokuwa na kigugumizi. Kwa mara nyingine Jenerali anaanza kutupiwa macho kwani inaonekana ameanza kurudisha makali yake kwa timu aliyoikusanya... so stay tuned.
Baada ya kudokezwa kuwa Dr. Slaa anaweza kupendekezwa na chama chake kuwa mgombea wa Urais mwakani a new strategy imeanza kutengenezwa yenye kukumbushia jinsi Mrema alivyokuwa neutralized. Mbinu hii ni ile ile ya kuchafua, kupandikiza hofu, na zaidi ya yote kuquestion utimamu wa mtu... Dr. Slaa ameonja kidogo makali ya CCM political machinery lakini kama kweli Chadema wanafikiria hivyo mtashangaa mashambulizi yajayo!! He better brace himself kwani CCM wanajua kabisa JK vs Slaa itakuwa an uphill battle!
Kama dalili zinazoendelea zitakuwa ni zile zile zinazotarajiwa basi gazeti la Raia Mwema na Dr. Slaa wameanza kumulikwa kwa kurunzi kali zaidi. Raia Mwema kwa kuanza kuchukua nafasi ya magazeti yenye kuthubutu zaidi na taarifa za kina za uchunguzi na uchambuzi usiokuwa na kigugumizi. Kwa mara nyingine Jenerali anaanza kutupiwa macho kwani inaonekana ameanza kurudisha makali yake kwa timu aliyoikusanya... so stay tuned.
Baada ya kudokezwa kuwa Dr. Slaa anaweza kupendekezwa na chama chake kuwa mgombea wa Urais mwakani a new strategy imeanza kutengenezwa yenye kukumbushia jinsi Mrema alivyokuwa neutralized. Mbinu hii ni ile ile ya kuchafua, kupandikiza hofu, na zaidi ya yote kuquestion utimamu wa mtu... Dr. Slaa ameonja kidogo makali ya CCM political machinery lakini kama kweli Chadema wanafikiria hivyo mtashangaa mashambulizi yajayo!! He better brace himself kwani CCM wanajua kabisa JK vs Slaa itakuwa an uphill battle!
Pamoja na porojo zake zitto kwamba hanunuliki lakini ukweli upo kwamba amekula mlungula aliopewa na mafisadi kwa baraka za JK hasa baada ya issue ya buzwagi.
Nawaomba CHADEMA wawe makini na zitto kabwe na wajiandae kuweka mikakati yao bila kumhusisha moja kwa moja ili siku anatangaza kujitoa kwenye chama asilete taabu.
Kweli watu mmefilisika!Dr.Slaa hawezi kumfikia Mbowe hata kwa 45% ya umakini katika chama chake,sembuse Tanzania!Jana nilisema kuwa "Chadema Kuteketezwa"
Leo Mwana kijiji amekuja na jipya la Raia Mwema na Dr. Slaa.
Taarifa za kina ndani ya Chama hicho kinadai, kuwa Dr. Slaa bado hajaridhia kugombea Urais licha ya kupata msukumo mkubwa kutoka kwa wananchi. Dr. Slaa ambaye ni Kiongozi makini kuliko wote Tanzania , bila hofu atamsumbua sana JK 2010 ikiwa ataridhia maombi ya wananchi.
Amejitokeza mara kadhaa kukiri kuwa hana mpango na Urais. Wala hiyo siyo mkakati wake, watu wa karibu yake wanasema kuwa bado na kiu na Ubunge.
Raia mwema bado ina lack jambo moja, inaandika habari kitaaluma zaidi, target yake ni middle class. wakati mwana Halisi kama udaku wa kisiasa inaeleweka na kila Mtanzania.
Tusubiri - Nadhani Zito anafaa sana kwa 2010 kwa Chadema!
Mods naanza kupata wasiwasi na utendaji wenu wa kazi,huyu jamaa anamtusi mkuu wa nchi na bado anaendelea kuleta kichefuchefu hapa jamvini,nina wasiwasi yaliyowapata the utamu yatarudia huku.Kuweni makini na watawala wa nchi kwani hata ktk biblia imeandikwa ni wajibu wenu kutii mamlaka ya wanaotawala.Take care!Nani anafaa na kwanini, JK ndio kimtamzamo hana tofauti na miss TZ sasa si afadhanli hata huyo anafyatua mabomu na yanawapata maadui
Bora enge la wabangaizaji wa mjini kuliko genge la mafisadi na matapeli wa siasa.
Unajua siri ikivuja bwana inataka mtu asiye na haya usoni kuitekeleza.siku chache zijazo mtaanza kuona haya..
siku chache zijazo mtaanza kuona haya..
Mkuu, usitutie hasira saa hizi... mnataka kuwa watawala siyo viongozi... hii si ufalme, ni demokrasia, kama mkuu wa nchi hajiheshimu na sisi hatutamheshimu, Ebo! Usitutishe, kama una la kusema na la kumtetea useme, siyo kuleta vitisho hapa!Mods naanza kupata wasiwasi na utendaji wenu wa kazi,huyu jamaa anamtusi mkuu wa nchi na bado anaendelea kuleta kichefuchefu hapa jamvini,nina wasiwasi yaliyowapata the utamu yatarudia huku.Kuweni makini na watawala wa nchi kwani hata ktk biblia imeandikwa ni wajibu wenu kutii mamlaka ya wanaotawala.Take care!
Jamani, naomba nitangaze rasmi kuwa niko tayari kuwa campaign na communication manager wa Dr Slaa, to be his David Plouffe. Kwa kushirikiana na watanzania, tutafanya grassroot movement ambayo CCM hawataona ndani. I just need the right person to believe in. (good reference my dear friend Nyani....ambaye alishuhudia kazi niliyofanya with the Obama campaign kwikwikwikwi)
Dr Slaa, nakuheshimu sana na ninaamini kwamba jinsi ulivyotoa maisha yako kwa Mungu awali, ndivyo inabidi ujitoe kwa ajili ya nchi yako...
Kama ushauri kwako, kubali kugombea and let us make history, mi naamini this is the right time, not 2015, it's NOW! Don't let this chance to make history, walk u by....