Tetesi: New Tiger hotel Africana yauzwa kwa billionea mama wa kihaya, ni mmiliki wa shule Jirani, alipa Fedha taslimu bilioni moja

Tiger Hotel au Tiger Motel? Kama ni Tiger Motel ni ya akina Mange Kimambi hiyo, kuuzwa ilikuwa ni suala la muda tu, maana iliwashinda kitambo.

Ova
 
Tangazo toka kwa meneja. Haya tutakaribia
 
Pole yao,wangemuuzia dada yao wa ulaya lile eneo
 
Jumanne kimambi, mtu aliepata tenda ya kujenga karibu veta zote Tanzania, alikua anamla yondo sister, akajichanganya akiwa anajenga veta kigoma akala mke wa Sam ruhuza alikua BP , na familia ile wako njema enzi hizo, kimambi akawekewa mtego dar, akamwita bibie ikawa wameandaliwa mabaunsa hotel moja posta, wakamgeuza Kwa zamu, kama watano huku wakichukua video, baada ya hapo Sam akaondoka na mke wake wakapaa USA kusameheana, wakatishia kurusha mapicha na video hizo, J akaona isiwe taabu akaelekea ufukweni kujipiga risasi story ikaishia pale, na mali zinamfuata moja baada ya nyingine itabakia shule ya msingi kimambi aliyowahengea huko mtwara maana mama mange alikua mmakonde aliona apeleke fadhila kidogo huko umakondeni
 
Msimila naona hayo ni maeneo ya anga zako.
 
Historia imeandikwa na haitofutika mabaunsa watano zamu kwa zamu Jumanne mmoja video kwenye camera picha picha km dab yupo kwenye press conference hata Mimi ningejivesha mabomu nijilipue kwani bei gani? Usiulize nini nimekuuliza kufa bei gani? Umesema Mali zote zinamfuata inamaana ndio analipia gharama akiwa kaburini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…