Tetesi: New Tiger hotel Africana yauzwa kwa billionea mama wa kihaya, ni mmiliki wa shule Jirani, alipa Fedha taslimu bilioni moja

Tetesi: New Tiger hotel Africana yauzwa kwa billionea mama wa kihaya, ni mmiliki wa shule Jirani, alipa Fedha taslimu bilioni moja

Watu wa valuation mtusaidie pana thamani gani pale?
 
Jumanne kimambi, mtu aliepata tenda ya kujenga karibu veta zote Tanzania, alikua anamla yondo sister, akajichanganya akiwa anajenga veta kigoma akala mke wa Sam ruhuza alikua BP , na familia ile wako njema enzi hizo, kimambi akawekewa mtego dar, akamwita bibie ikawa wameandaliwa mabaunsa hotel moja posta, wakamgeuza Kwa zamu, kama watano huku wakichukua video, baada ya hapo Sam akaondoka na mke wake wakapaa USA kusameheana, wakatishia kurusha mapicha na video hizo, J akaona isiwe taabu akaelekea ufukweni kujipiga risasi story ikaishia pale, na mali zinamfuata moja baada ya nyingine itabakia shule ya msingi kimambi aliyowahengea huko mtwara maana mama mange alikua mmakonde aliona apeleke fadhila kidogo huko umakondeni
Acha uongo wewe mwanamke,Kimambi alikunywa sumu ndani ya hotel yake palepale Triz motel, ilikuwa kwenye mwaka 2003 au 2002, mi wakati huo nakaa pale karibu afrikana pub,na pale Triz ilikuwa chimbo langu lakupigia malaya
 
Back
Top Bottom