Kivipi nimkazie jicho wakati binti kasimama?
maana zake izi hapa bob
1- Kivipi nimle tu kwa macho wakati demu mwenyewe ni mzuri?(demu kasimama maana yake demu mrembo)
2- kivipi niishie namtazama tuu wakati binti kashasima,hapa binti kama alikuwa anatembea then akasimama..so inabidi amfuate amtokee.
3- kivipi nitamkaza kwenye jicho wakati binti kasimama(hapa jicho ni sehemu ya haja kubwa,,,kumuingilia demu kinyume na maumbile sharti hainame,,,akisimama inasumbua ndio maana Fid anauliza 'kivipi'.....