New Track:Siri ya Mchezo-FID Q feat Juma Nature

mtaniaminishaje kuwa hii mistari kaandika fid q?

jiaminshe mwenyewe,kama hutaki kuamini unataka nani akuaminshe? Kama unamuamin kubanda ni juu yako,na kama hutaki kuamini pia juu yako. Acha tuenjoy mziki mzuri.
 
jiaminshe mwenyewe,kama hutaki kuamini unataka nani akuaminshe? Kama unamuamin kubanda ni juu yako,na kama hutaki kuamini pia juu yako. Acha tuenjoy mziki mzuri.
Mkuu nawe uache majibu mepesi. Kuna watu handika nyimbo na kuziuza.Yawezekana limetokea hilo. Na nimesema hivyo kutokana na uzito wa mashairi. Hata hivyo sikupenda kuendelea kujibu.
 

Hahaha ila ni kweli Fid alikuwa anamaana hizi tatu au ni kwa mujibu ya tafsiri/uelewa wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…