New vaccine

Moss B

Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
54
Reaction score
4
Chanjo ya ugonjwa wa malaria imegundulika huko marekani na wanasayansi na tayari wameifanyia majaribio na kugundua inaweza kutumika kama chanjo ya malaria
 
tungeomba ufafanuzi angalau kwa kina kuhusu hiyo chanjo mkuu
 
Hahaa hii chanjo imegundulika huko kwa.wazungu wenzetu na bhado inafanyiwa uchunguzi wa kina kiukweli na ikija kuwa poa nitakuja hapahapa kuwapa habari mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…