Chanjo ya ugonjwa wa malaria imegundulika huko marekani na wanasayansi na tayari wameifanyia majaribio na kugundua inaweza kutumika kama chanjo ya malaria
Hahaa hii chanjo imegundulika huko kwa.wazungu wenzetu na bhado inafanyiwa uchunguzi wa kina kiukweli na ikija kuwa poa nitakuja hapahapa kuwapa habari mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.