FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Hii iña maana ya kuiongoza dunia kama Serikari moja ña kuwa na rais mmoja tu dunia nzima.
Hukutanikia Roma Vatican,Kiongozi mmoja mmoja wa kidunia yaani marais hudhulu Roma ikiwemo marais wa Marekani punde tu wanapoapishwa na watu maarufu Wenye ushawishi kama wanamuziki wakubwa,lengo likiwa ni kupewa maneno yenye nguvu wanayopaswa kutumia wawàpo ktk mikusanyiko ya watu.
Inaamika ni mpango wa Mungu kwani Roma kuna vitabu vitakatifu vya dini ambavyo Vinaoesha majira nyakati hizi dunia iweje,sasa hii hutokea watu wengine huoteshwa ktk njozi na Mungu kama 2 pak Omar Shakur baada ya ufunuo Kumtokea akafanya kosa kubwa akayatungia Nyimbo hayo maneno wakati ni ya dunia ya siri,sawa sawa na Yusuph ktk maandiko alipofanya kosa LA kuwaambia ndugu zake juu ya ndoto,japo yeye alipona.
Mashirika ya kijàsusi kama CIA, M1-6,KGB,Mossad na kadhalika hujua mipango hii dunia inapoenda hivyo walimpa onyo 2 pac ila hakutii umauti ukamfika
Baadhi ya Mipango ya New World Oder kwa dunia..
Kupeleka watu kuishi ktk sayari nyingine,Mungu alisema Mkaijaze dunia wao wilikpewa jukumu la kutafutia mahali pa kuwapeleka watu
Kujenga makazi au miji ndani ya bahari au kusogeza bahari kama ilivyokwisha fanyika Uholanzi nà sasa japan
Kuunganisha dunia kidogo kidogo kwa kuwa na sarafu mojà
Utandawazi na ubinafshaji ili dunia kufaidi Matunda ya kila nchi kama dunia moja
Mwisho nchi zitakazopinga kukumbwa na vikwazo vya uçhumi zamani Ilikuwa vita ila kifo cha Gadafi na Sadham vilibadili

Hukutanikia Roma Vatican,Kiongozi mmoja mmoja wa kidunia yaani marais hudhulu Roma ikiwemo marais wa Marekani punde tu wanapoapishwa na watu maarufu Wenye ushawishi kama wanamuziki wakubwa,lengo likiwa ni kupewa maneno yenye nguvu wanayopaswa kutumia wawàpo ktk mikusanyiko ya watu.
Inaamika ni mpango wa Mungu kwani Roma kuna vitabu vitakatifu vya dini ambavyo Vinaoesha majira nyakati hizi dunia iweje,sasa hii hutokea watu wengine huoteshwa ktk njozi na Mungu kama 2 pak Omar Shakur baada ya ufunuo Kumtokea akafanya kosa kubwa akayatungia Nyimbo hayo maneno wakati ni ya dunia ya siri,sawa sawa na Yusuph ktk maandiko alipofanya kosa LA kuwaambia ndugu zake juu ya ndoto,japo yeye alipona.
Mashirika ya kijàsusi kama CIA, M1-6,KGB,Mossad na kadhalika hujua mipango hii dunia inapoenda hivyo walimpa onyo 2 pac ila hakutii umauti ukamfika
Baadhi ya Mipango ya New World Oder kwa dunia..
Kupeleka watu kuishi ktk sayari nyingine,Mungu alisema Mkaijaze dunia wao wilikpewa jukumu la kutafutia mahali pa kuwapeleka watu
Kujenga makazi au miji ndani ya bahari au kusogeza bahari kama ilivyokwisha fanyika Uholanzi nà sasa japan
Kuunganisha dunia kidogo kidogo kwa kuwa na sarafu mojà
Utandawazi na ubinafshaji ili dunia kufaidi Matunda ya kila nchi kama dunia moja
Mwisho nchi zitakazopinga kukumbwa na vikwazo vya uçhumi zamani Ilikuwa vita ila kifo cha Gadafi na Sadham vilibadili
