New World Order ni nini? Ni kweli Putin ni mpinzani mkubwa wa huu mpango?

New World Order ni nini? Ni kweli Putin ni mpinzani mkubwa wa huu mpango?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Niliwahi kusoma siku za nyuma sana kuwa kuna kikundi cha watu (illuminat) walianza mipango ya kuanzisha era mpya duniani itakayobebwa na mpango unaojulikana kama New World Order (NWO).

Wao wakidai era hii maarufu kama christian era (AD) imefeli kwa kuwa imekuwa na changamoto nyingi zinazohusisha majanga mengi kama vita, njaa, maradhi, matetemeko, mafuriko na majanga mengi ya asili yaliyosababisha vifo vingi sana duniani.

Kwamba kwa sasa wanataka kuona dunia ina geuka na kuanza kuingia kwenye era mpya yenye mtazamo mpya utakaoleta amani na utulivu. Era hii itakuwa era ya Lucifer. Na awali walikusudia ingeanza mwaka 2000.

Walikusudia hata namba ya kuandika miaka ibadilike kutoka mfano 2000 AD kuwa na mfumo mpya utakoonesha kuwa hii ni era ya Lucifer.

Marais wa Marekani katika vipindi tofauti kuanzia George Bush hadi Joe Bidden wamewahi kudokeza kuhusu mpango huu mpya na kusisitiza ni muhimu dunia sasa iingie katika mpango huu.

Hata hivyo huu ni mpango hatari wa kukamilisha uasi wa dunia dhidi ya Mungu ambapo wakazi wa dunia watalazimishwa kumwabudu shetani wazi wazi.

Najua maandalizi kwa sasa yako kwa kiwango cha juu sana lakini Mungu amekuwa akitumia watu kuuchelewesha na kuukwamisha hadi pale habari njema ya ufalme itakapohubiriwa kwa kila mtu kama ushuhuda.

Baadhi ya wapinzani wa mpango huo ni Saadam Hussein, Muamar Gadaffi,Hugo Shaves na Puttin ambaye hadi sasa anapambana nao sana.

Hata hivyo kwa mujibu wa unabii wa neno la Mungu,hatimae watafanikiwa kusimamisha mpango huo kwani wadau wakubwa tayari wameshaunga mkono na wako kwenye maandalizi ya mwisho kusimika mfumo huo.

Mfumo huo utakuwa sawa na kusimamisha ibada ya sanamu ili wakazi wa dunia waisujudie.Watakaokataa watateswa na kuuwawa na watakaokubali wataona maisha wameyapatia.

Wataalamu tupeane taarifa mpya kuhusiana na suala hili tafadhali
 
India fleva
 

Attachments

  • downloadfile-5.jpg
    downloadfile-5.jpg
    54.2 KB · Views: 4
Niliwahi kusoma siku za nyuma sana kuwa kuna kikundi cha watu (illuminat) walianza mipango ya kuanzisha era mpya duniani itakayobebwa na mpango unaojulikana kama New World Order (NWO).

Wao wakidai era hii maarufu kama christian era (AD) imefeli kwa kuwa imekuwa na changamoto nyingi zinazohusisha majanga mengi kama vita, njaa, maradhi, matetemeko, mafuriko na majanga mengi ya asili yaliyosababisha vifo vingi sana duniani.

Kwamba kwa sasa wanataka kuona dunia ina geuka na kuanza kuingia kwenye era mpya yenye mtazamo mpya utakaoleta amani na utulivu. Era hii itakuwa era ya Lucifer. Na awali walikusudia ingeanza mwaka 2000.

Walikusudia hata namba ya kuandika miaka ibadilike kutoka mfano 2000 AD kuwa na mfumo mpya utakoonesha kuwa hii ni era ya Lucifer.

Marais wa Marekani katika vipindi tofauti kuanzia George Bush hadi Joe Bidden wamewahi kudokeza kuhusu mpango huu mpya na kusisitiza ni muhimu dunia sasa iingie katika mpango huu.

Hata hivyo huu ni mpango hatari wa kukamilisha uasi wa dunia dhidi ya Mungu ambapo wakazi wa dunia watalazimishwa kumwabudu shetani wazi wazi.

Najua maandalizi kwa sasa yako kwa kiwango cha juu sana lakini Mungu amekuwa akitumia watu kuuchelewesha na kuukwamisha hadi pale habari njema ya ufalme itakapohubiriwa kwa kila mtu kama ushuhuda.

Baadhi ya wapinzani wa mpango huo ni Saadam Hussein, Muamar Gadaffi,Hugo Shaves na Puttin ambaye hadi sasa anapambana nao sana.

Hata hivyo kwa mujibu wa unabii wa neno la Mungu,hatimae watafanikiwa kusimamisha mpango huo kwani wadau wakubwa tayari wameshaunga mkono na wako kwenye maandalizi ya mwisho kusimika mfumo huo.

Mfumo huo utakuwa sawa na kusimamisha ibada ya sanamu ili wakazi wa dunia waisujudie.Watakaokataa watateswa na kuuwawa na watakaokubali wataona maisha wameyapatia.

Wataalamu tupeane taarifa mpya kuhusiana na suala hili tafadhali
Suala hili limekuwa kilipigiwa chapuo tangu miaka ya 1970. Hata akina Nyerere walikuwa wakiupigania mfumo mpya wa uchumi duniani. Lakini viongozi wengi hawakujua kuwa ni mpango wa siri wa Ibilisi.
Hivi karibuni niliona Article fulani ya Mkuu wa zamani wa Freemason akiweka mpango kabambe wa namna ya kuufikia mfumo huo. Nao ni kupitia vita. Alieleza kuwa wataanzisha vita vya kwanza vya dunia na watapindua utawala wa Urusi ili kupenyeza U komunisti lengo likiwa ni kuzuia kuenea kwa Injili. Na ilitokea hivyo. Akaeleza kuwa wataanzisha vita vya pili vya dunia kupitia Nazi na baada ya hapo Taifa la Israel lianzishwe na ndivyo ilivyotokea. Akasema vita vya tatu vya dunia vitaanzishwa kwa kuwagombanisha Waislamu na Wayahudi na kuchochea vita hivyo kiasi kwamba kila nchibitachukuwa upande. Anadai kuwa vita hivyo vitakuwa vikali sana na kuharibu uchumi wa dunia kabisa. Hivyo, watu watakata tamaa na dini zao hazitaweza kuwasaidia. Ndipo wataingia kazini wao kuingiza huo mfumo na kukatilia mbali dini ili Lucifer ndiye aabudiwe.
Lakini pamoja na utabiri wake Mungu tayari ameshaweka mpango mzimavwa dunia itakavyokwenda. Hao Iluminati wataweza tu kutekeleza mpango wao baada ya kanisa la kweli la Yesu Kristo kunyakuliwa.
 
Suala hili limekuwa kilipigiwa chapuo tangu miaka ya 1970. Hata akina Nyerere walikuwa wakiupigania mfumo mpya wa uchumi duniani. Lakini viongozi wengi hawakujua kuwa ni mpango wa siri wa Ibilisi.
Hivi karibuni niliona Article fulani ya Mkuu wa zamani wa Freemason akiweka mpango kabambe wa namna ya kuufikia mfumo huo. Nao ni kupitia vita. Alieleza kuwa wataanzisha vita vya kwanza vya dunia na watapindua utawala wa Urusi ili kupenyeza U komunisti lengo likiwa ni kuzuia kuenea kwa Injili. Na ilitokea hivyo. Akaeleza kuwa wataanzisha vita vya pili vya dunia kupitia Nazi na baada ya hapo Taifa la Israel lianzishwe na ndivyo ilivyotokea. Akasema vita vya tatu vya dunia vitaanzishwa kwa kuwagombanisha Waislamu na Wayahudi na kuchochea vita hivyo kiasi kwamba kila nchibitachukuwa upande. Anadai kuwa vita hivyo vitakuwa vikali sana na kuharibu uchumi wa dunia kabisa. Hivyo, watu watakata tamaa na dini zao hazitaweza kuwasaidia. Ndipo wataingia kazini wao kuingiza huo mfumo na kukatilia mbali dini ili Lucifer ndiye aabudiwe.
Lakini pamoja na utabiri wake Mungu tayari ameshaweka mpango mzimavwa dunia itakavyokwenda. Hao Iluminati wataweza tu kutekeleza mpango wao baada ya kanisa la kweli la Yesu Kristo kunyakuliwa.
Hamna kitu kama NWO zaidi ya illusions tena afadhali ya illusions za Karl Marx and Engels!!
 
NWO ni mpango mzuri, maendeleo yoyote ya kiwango cha juu yanatoka huko. Wanasayansi wote maarifa yote wanayatoa huko. Sasa wanataka kuuweka wazi, sio siri tena.
 
Umeel
Niliwahi kusoma siku za nyuma sana kuwa kuna kikundi cha watu (illuminat) walianza mipango ya kuanzisha era mpya duniani itakayobebwa na mpango unaojulikana kama New World Order (NWO).

Wao wakidai era hii maarufu kama christian era (AD) imefeli kwa kuwa imekuwa na changamoto nyingi zinazohusisha majanga mengi kama vita, njaa, maradhi, matetemeko, mafuriko na majanga mengi ya asili yaliyosababisha vifo vingi sana duniani.

Kwamba kwa sasa wanataka kuona dunia ina geuka na kuanza kuingia kwenye era mpya yenye mtazamo mpya utakaoleta amani na utulivu. Era hii itakuwa era ya Lucifer. Na awali walikusudia ingeanza mwaka 2000.

Walikusudia hata namba ya kuandika miaka ibadilike kutoka mfano 2000 AD kuwa na mfumo mpya utakoonesha kuwa hii ni era ya Lucifer.

Marais wa Marekani katika vipindi tofauti kuanzia George Bush hadi Joe Bidden wamewahi kudokeza kuhusu mpango huu mpya na kusisitiza ni muhimu dunia sasa iingie katika mpango huu.

Hata hivyo huu ni mpango hatari wa kukamilisha uasi wa dunia dhidi ya Mungu ambapo wakazi wa dunia watalazimishwa kumwabudu shetani wazi wazi.

Najua maandalizi kwa sasa yako kwa kiwango cha juu sana lakini Mungu amekuwa akitumia watu kuuchelewesha na kuukwamisha hadi pale habari njema ya ufalme itakapohubiriwa kwa kila mtu kama ushuhuda.

Baadhi ya wapinzani wa mpango huo ni Saadam Hussein, Muamar Gadaffi,Hugo Shaves na Puttin ambaye hadi sasa anapambana nao sana.

Hata hivyo kwa mujibu wa unabii wa neno la Mungu,hatimae watafanikiwa kusimamisha mpango huo kwani wadau wakubwa tayari wameshaunga mkono na wako kwenye maandalizi ya mwisho kusimika mfumo huo.

Mfumo huo utakuwa sawa na kusimamisha ibada ya sanamu ili wakazi wa dunia waisujudie.Watakaokataa watateswa na kuuwawa na watakaokubali wataona maisha wameyapatia.

Wataalamu tupeane taarifa mpya kuhusiana na suala hili tafadhali
Umeeleza vizuri ila ulipoingiza mambo ya Sadam Hussein na gafafi ni dhahiri hujui kitu Sadam na gadafi wao hufanya Ibada za sanamu kama Lucifer YESU NI JIBU ulionitajia Hawamjui Yesu aliyewaumba na kumpa KIBALI .....wao
 
Uo mfumo kitambo unafanya kazi
Biblia inasema uo mfumo utakuwa wa kidini +siasa
 
Soma BIBLIA imeeleza kila kitu, sema kwa mafumbo sana ,usipoelewa niite ,Mimi ni mbobevu katika maswala ya illuminati na freemason,

Kwasasa wameshaingia kwenye kila kanisa ,kila dhehebu ,kila dini, wanafanya kazi humo, wamepandikiza viongozi na mifumo Yao ,utawatambua kwa alama zao ,japo zimewekwa kwa kificho, inahitaji uwe mtu wakuchimba sana ,na usiwe mfia dini maana unaweza kukimbia hata kanisa au dhehebu lako
 
Hamna kitu kama NWO zaidi ya illusions tena afadhali ya illusions za Karl Marx and Engels!!
Mtu mvivu kama wewe huwezi kujua kitu.
Vitu vipo kwenye mitandao wazi halafu unaleta ubishi ukiwa gizani
 
Umeel

Umeeleza vizuri ila ulipoingiza mambo ya Sadam Hussein na gafafi ni dhahiri hujui kitu Sadam na gadafi wao hufanya Ibada za sanamu kama Lucifer YESU NI JIBU ulionitajia Hawamjui Yesu aliyewaumba na kumpa KIBALI .....wao
Ninaweza nikawa sijui kwa mujibu wa uelewa wako.
Kama huwa unairuhusu akili yako kutafakari basi jiulize kuhusu watu wafuatao;
Mfalme Nebukadneza alikuwa nani? Na aliabudu nini?
Kwa nini Mungu alimwita "mtumishi wangu Nebukadneza?"

Naaman alikuwa nani? Na alimwabudu nani?Nani alimpa uhodari wa vita?

Balaamu alikuwa anamwabudu nani? Kwa nini aliwabariki Israel.

Ukimaliza kusoma na kutafakari,hitimisho langu litakuwa Mungu huchagua kutumia mtu yeyote atimize matakwa yake na wala usimpangie eti hawezi kumtumia Saadam
 
Nachojua mm ni kuwa, ntaupigania uislam nikiwa Hai hadi shetani aombe samahani
 
Mtu mvivu kama wewe huwezi kujua kitu.
Vitu vipo kwenye mitandao wazi halafu unaleta ubishi ukiwa gizani
Unamaanisha sijasoma haya?

"The New World Order (NWO) is a term used in several conspiracy theories which hypothesize a secretly emerging totalitarian world government.[3][4][5][6][7] The common theme in conspiracy theories about a New World Order is that a secretive power elite with a globalist agenda is conspiring to eventually rule the world through an authoritarian one-world government—which will replace sovereign nation-states—and an all-encompassing propaganda whose ideology hails the establishment of the New World Order as the culmination of history's progress. Many influential historical and contemporary figures have therefore been alleged to be part of a cabal that operates through many front organizations to orchestrate significant political and financial events, ranging from causing systemic crises to pushing through controversial policies, at both national and international levels, as steps in an ongoing plot to achieve world domination.[3][4][5][6][7]"

Ahahahahaha! Mambo ya Conspiracy theories! Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom