Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu yani acha
Allah kariim
Hahaha hivi umewahi kuona Virus au hata bacteria wa KUTENGENEZWA MAABARA?!Kirusi karuka kutoka kwa mnyama kwenda kwa binadamu.Hizo za kutengenezwa ni story tu. Mtu kutengeneza kirus huwa anaandaa na dawa au chanjo ili auze. Pia Virologists wanasema kirus angekuwa katengenezwa maabara lazima munipulation ingeonekana kwenye genetic codes zake. Wachina kula kwao kila kinachotembea matokeo yake wametuletea Chinese virus.
Ki vipi mamaa?Thank you China [emoji26].
Nimeona jana BBC wameenda soko 1 huko malaysia wanauza kila mnyama yule muuzaji yuko anachemsha hio supu ya popo na anasema haamini kama hao popo anaokula kila siku ndio wana virusi hivyo.Hapa kidogo nimekuelewa CHINA Kula kwao kila kisicholiwa kimeleta hii shida ila kusema kama ni maabara ndio nnapopingana na watu japokua virusi vinatengenezeka pia
Sent using My COVID-19
Pengne walikula popo alokua na kirusi maana popo hawakuanza kuliwa leo UCHINA Ila Pia Hata kua katengenezwa pia inawezekana ila siamini kama katengenezwa japo anawezekana kutengenezwaNimeona jana BBC wameenda soko 1 huko malaysia wanauza kila mnyama yule muuzaji yuko anachemsha hio supu ya popo na anasema haamini kama hao popo anaokula kila siku ndio wana virusi hivyo.
Pembeni yake hapo kuna bonge la joka limekaushwa likachunwa ngozi afu jamaa analikata vipande vipande anauzia wateja.
Si mchezo.