kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Karibu sana mkuu,
jisikie upo mtandaoni, usiulize tupo wangapi, kwa kuwa wengi tuna ID zaidi ya moja idadi haijulikani.
ukifungua ID ya 2 jitambulishe kwenye lile jukwaa husika.
Habarin wanajukwaa! Nadhan mnaendelea vizuri na pilika pilika za kila siku! mimi ni mdau mzuri wa JF ila sijawahi kua memba! ndo nimejisajili, naombeni ridhaa yenu wakuu nmipokee kwa mikono miwili! nawasilisha
Wewe mbona kama mgen !??
Ndio maana swaga zako za kienyejienyeji!haya bwana karibu hatuna haja ya kukuonyesha njia mgeni mwenyeji wewe! tafuta jukwaa lak nawe usimange na kuzodoa watu!Habarin wanajukwaa! Nadhan mnaendelea vizuri na pilika pilika za kila siku! mimi ni mdau mzuri wa JF ila sijawahi kua memba! ndo nimejisajili, naombeni ridhaa yenu wakuu nmipokee kwa mikono miwili! nawasilisha