kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Habarin wanajukwaa! Nadhan mnaendelea vizuri na pilika pilika za kila siku! mimi ni mdau mzuri wa JF ila sijawahi kua memba! ndo nimejisajili, naombeni ridhaa yenu wakuu nmipokee kwa mikono miwili! nawasilisha