Newborn baby!!

Newborn baby!!

Karibu sana.
Kwa masuala ya kula kula kule jukwaa la Chef utawasiliana na mama yangu mwaJ
Kwa masuala ya chitchat raisi ni Arushaone lakn pia ana msaidizi wa uchumba na ndoa kama bado upo upo nao ni Baba V na watu8.
Lakn kaa mbali na Asprin hichi kibabu ni kikaguzi na kina wake 4 na concubines kibao kama mfalme suleiman.

Siasani umuone family member my super dad Mwita Maranya .

Tunaye mwinjilisti ladyfurahia na mtumishi Bujibuji (huyu sikuhizi amerudi nyuma uwe makini nae)

Kama unahitaji mkopo wa biashara wasiliana na Bishanga .
My love stevoh huyu ni multi purpose kila kazi anaweza.
My anty Kongosho ni mama makavu live wakisaidiana na KINGásti Snowwhite na wengine

kuna wengi sana utajua kazi zao taratibu kama manoah mimisa Mr Rocky Tetra Nicas Mtei majany Superman etc etc .
Kwa ufupi familia yetu ni super extended family.. karibu sana

Good presentation my 'X'
 
mkaribishe kwenye CHUMBA CHA UPASUAJI WA KIROHO hapa tutampaka mafuta na kumpa power of love karibu best
Karibu sana.
Kwa masuala ya kula kula kule jukwaa la Chef utawasiliana na mama yangu mwaJ
Kwa masuala ya chitchat raisi ni Arushaone lakn pia ana msaidizi wa uchumba na ndoa kama bado upo upo nao ni Baba V na watu8.
Lakn kaa mbali na Asprin hichi kibabu ni kikaguzi na kina wake 4 na concubines kibao kama mfalme suleiman.

Siasani umuone family member my super dad Mwita Maranya .

Tunaye mwinjilisti ladyfurahia na mtumishi Bujibuji (huyu sikuhizi amerudi nyuma uwe makini nae)

Kama unahitaji mkopo wa biashara wasiliana na Bishanga .
My love stevoh huyu ni multi purpose kila kazi anaweza.
My anty Kongosho ni mama makavu live wakisaidiana na KINGásti Snowwhite na wengine

kuna wengi sana utajua kazi zao taratibu kama manoah mimisa Mr Rocky Tetra Nicas Mtei majany Superman etc etc .
Kwa ufupi familia yetu ni super extended family.. karibu sana
 
Back
Top Bottom