likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
Msimu uliopita alikuwa wap wakat anapigwa nne nne na wakina everton? Epl bado ligi ngumu bila usajili wa maana pale hutokEPL ligi ya wasiojua mpira Gurdiola anajipigia tu
Kwan wengine hawajasajili tena kwa mbwembwe, epl timu zote zina uwezo sawa tena mdogo hata angekuja Barcelona huko angewafanya hivoMsimu uliopita alikuwa wap wakat anapigwa nne nne na wakina everton? Epl bado ligi ngumu bila usajili wa maana pale hutok
Mwaka jana kafanywaje? Huyo barcelona kazabuliwa mara ngap na chelsea?Kwan wengine hawajasajili tena kwa mbwembwe, epl timu zote zina uwezo sawa tena mdogo hata angekuja Barcelona huko angewafanya hivo
Naona Gurdiola anaenda kuvunja rekodi ambazo alishindwa akiwa laliga au huko ujerumani sasa hapo ligi ngumu inatoka wap??Mwaka jana kafanywaje? Huyo barcelona kazabuliwa mara ngap na chelsea?
Mwaka jana alifanya nn ndugu?Naona Gurdiola anaenda kuvunja rekodi ambazo alishindwa akiwa laliga au huko ujerumani sasa hapo ligi ngumu inatoka wap??
Na kama mlimuweza mwaka jana sa hiv mnashindwa nini??Mwaka jana alifanya nn ndugu?
Nnapokuambia ligi ya uingereza bila usajili wa maana ulikuwa unakataa nn ndo mana nimekwambia kama anajua mwaka jana kabeba nini? Ligi bado ni ngumuNa kama mlimuweza mwaka jana sa hiv mnashindwa nini??
Sio uingereza tu ligi zote zinataka usajili huwezi kutoka na kitimu chako cha ajabu epl ukabeba njoo laliga au bundesligaNnapokuambia ligi ya uingereza bila usajili wa maana ulikuwa unakataa nn ndo mana nimekwambia kama anajua mwaka jana kabeba nini? Ligi bado ni ngumu
Sio uingereza tu ligi zote zinataka usajili huwezi kutoka na kitimu chako cha ajabu epl ukabeba njoo laliga au bundesliga