Newcastle United 0-1 Manchester City: Pep hashikiki, afikisha mechi 20 bila kupoteza

unasemaje mkuu..umeona man city anavotepeta..j4 tena na ana majeruhi..had march atakua anagombea top 4 na arsenal..amtazame sana chelsea
Mkuu unaamini cty wataendelea kuflop? Binafsi matokeo ya leo siyahusishi na mechi iliyopita kwa style yoyote ile
 
Mkuu unaamini cty wataendelea kuflop? Binafsi matokeo ya leo siyahusishi na mechi iliyopita kwa style yoyote ile
ataflop na siyo kidogo..sifa zote za pundits akina Neville zitaishia hewani..tazama performance ya city..inajieleza
 
Nnapokuambia ligi ya uingereza bila usajili wa maana ulikuwa unakataa nn ndo mana nimekwambia kama anajua mwaka jana kabeba nini? Ligi bado ni ngumu
Sio usajili wa maana,ila usajiri wenye akili,pep ni kocha mzuri sana amini hilo
 
Tujikumbushe.
 
Ligi ya uingereza haina mtawala msimu haujaisha hana hata kombe unaona kabeba kombe point zake ni mech tano mzunguko uliobak mech 19 msimu ulioisha kapigwa sasa nae anashinda kipi kipya?
Mtawala waligi bado hayupo?.
 
Tulisema waona mbali.
 
City treble naona mwarabu kazi imebakia kwake kukamilisha ahadi ya pounds 2m kwa kila mchezaji.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi unafukuliwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…