uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Kwa hapo alipoifikisha inatosha ameishiwa hana cha kuoffa tena.
Kama unafuatilia mechi Newcastle wanastaili moja ya uchezaji ni rahisi sana kuwazuia.
Kama maboss wa Newcastle wanaitaka top four wamuondoe haraka Eddie.
Eddie ni kocha mzuri wa madaraja ya kati na Newcastle imeshakuwa kubwa kwake.
Kama unafuatilia mechi Newcastle wanastaili moja ya uchezaji ni rahisi sana kuwazuia.
Kama maboss wa Newcastle wanaitaka top four wamuondoe haraka Eddie.
Eddie ni kocha mzuri wa madaraja ya kati na Newcastle imeshakuwa kubwa kwake.