Yule gaidi aliyejilipua hapo Dusit alikua Wanted huku Kenya na kulikua na machapisho kadhaa yakitangaza 1 Million reward kwa yeyote ambae anajua alipo, akakimbia Tanzania alafu baadae akaenda Somalia tena ndo akaingia Kenya kuja kufanya hili shambulizi.....
Mimi mwenyewe nimewashangaa sana hawa wenzetu wanavomuabudu mzungu. Yaani mzungu ameteka mawazo yao kupitia movie ambazo ni maigizo tu. Utadhani huyo jamaa mmoja ndiye aliyefanya operation yote akiwa pekee yake kutoka mwanzo hadi mwisho.