News alert:another updates from heslb.

wana jf chamsingi tuwe na subira tu hadi cku ambayo kitu kitaachiliwa na kama ipo, ipo tu, na kama haipo haipo tu! mana naona cku znavyozd kwenda wanaibuka manabii wa uongo! Mi nawachukulia poa2
 

bana mkubwa if pocble naomba uniangalizie jina langu kama nimepata huo mkopo maana chuo kimefungua na cna mwelekeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…