Mmmmmmhhh!!!! Haya......Ben Saanane ni mume wangu halali Mr Chimbuvu.
Kila siku nalala nae na kuamka nae.
Namjua in and out.
Na tunamiliki binadamu ambae ni mtoto wetu anaeitwa BeMa.
Juliana Shonza wake ni Mtela Mwampamba.
Sahihisha hapo juu.
Safi tu Mr Rocky...nashangaa waazilishi wa hili jukwaa,,,tuliokuwa na hisa nyingi hapo zamani sasa hivi tumetupwa nje!
hizo bajaji zako zinatembea zote?
Mmmmmmhhh!!!! Haya......
sijui hiyo ndoa inaendeleajeBen Saanane married to Juliana Shonza...ha ha ha ha couple nzuri sana hii
hao wawili umewapata lini tena?
Biashara haramu hatuzihesabu