News alert; mabilionea wa jf chitchat

News alert; mabilionea wa jf chitchat

nimesikia ni gari la mkopo lile ama?

Itakayofuata zingatia kuangalia mapato.. Ile tenda ya bendera na mabango ya Obama niliifanya mie Chimbuvu.. Inatosha kuniweka kwenye utajiri namba moja juu.. Kuthibitisha hilo mtafute mai waifu Paloma uone anatembelea gari gani..
 
nimesikia ni gari la mkopo lile ama?

Kasema nani kama ni la mkopo Chimbuvu..? Au unataka uonyeshwe kadi ya usajili wa gari..? Naomba katika list inayokuja niweke namba moja baada ya kupitia kwa makini tranzaksheni zangu za benki..
 
Last edited by a moderator:
Mbona billionea Idd Ninga mmesahau,yeye account yake ya bank inashiling 650.
 
Last edited by a moderator:
Huyo Bishanga kwa taarifa yako hana hata sh. kumi nyeupe, kahonga pesa zote kwa mtu wa protokali ili amkutanishe na Sasha Obama kaambulia patupu.

sosi: Kwa hisani ya watu wa Marekani..
HEEEE HI KITU MMEIVUMBUA WAPI MAANA NI YA SIKU NYINGI SANA HAPA DUUUU
 
Back
Top Bottom