News alert; mabilionea wa jf chitchat

Ha ha ha haa
Chitchat never boring
 
Yaani mimi sipo, nakata rufaa...
 
hii tulichkua mwisho tarehe 30/6/2013

Itakayofuata zingatia kuangalia mapato.. Ile tenda ya bendera na mabango ya Obama niliifanya mie Chimbuvu.. Inatosha kuniweka kwenye utajiri namba moja juu.. Kuthibitisha hilo mtafute mai waifu Paloma uone anatembelea gari gani..
 
Last edited by a moderator:
Itakayofuata zingatia kuangalia mapato.. Ile tenda ya bendera na mabango ya Obama niliifanya mie Chimbuvu.. Inatosha kuniweka kwenye utajiri namba moja juu.. Kuthibitisha hilo mtafute mai waifu Paloma uone anatembelea gari gani..

mmmh babe si tulikubaliana lakini? "wacha kupiga mayowe wacha waone wenyewe" umesahau? tusije tuakapa shida ujue manake pesa zinaleta mambo mengi! ona Bishanga anavyopapatikiwa wakati sasa ni lodi-lofa! alizifumaga kipindi kile alipopata tenda ya kusaplai matoke kule chimwaga!!!
 
Last edited by a moderator:

Usiogope babe.. Hawatuwezi hata kidogo.. Kwanza safari hii tuwekeze.. Nafikiria kufungua Grocery pale kwenye garden ya Posta ya zamani..
 
Usiogope babe.. Hawatuwezi hata kidogo.. Kwanza safari hii tuwekeze.. Nafikiria kufungua Grocery pale kwenye garden ya Posta ya zamani..

hahahaha poa............afu tuiiteje.......jei efu cc grocery! Muuzaji awe manoah
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…