typing error
Yaani mimi sipo, nakata rufaa...
yamekuwa hayo tena?tutakaa kuyamalizabasi mpenzi
hayaaa kila shetani na mbuyu wake
ni mimi na wewe tu mpenzi tutayamaliza ,unajua bado nakupenda sana
aaa,a,aaa.aaaa ssssaasa ssssssi ttttttutaongea hayo
laiti wangejua utajiri nilionao pasingekalika hapa....lol.
mmmh babe si tulikubaliana lakini? "wacha kupiga mayowe wacha waone wenyewe" umesahau? tusije tuakapa shida ujue manake pesa zinaleta mambo mengi! ona Bishanga anavyopapatikiwa wakati sasa ni lodi-lofa! alizifumaga kipindi kile alipopata tenda ya kusaplai matoke kule chimwaga!!!