Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Inasemekana TBC1 wanataka kumchukua/kumtumia kama ripota wao pia!
Yangu macho na masikio!!!!! Hapa kuna mpango mkubwa sana or a well planned technique. Naweza kuangalia mbali!!!! Siasa ni mbaya sana wakati mwingine!!! Tujihadhari kutumiwa!!!!! Na mbaya zaidi usichanganye siasa na biashara!!!! Wapo a few wanaweza kubeba vyote but hawezi kuwa fine or at per vyote so anatumia the other side kufanikisha the priority kama afanyavyo RA!!!! RA is a businessman, he uses politics to strengthen his businesses, nothing else!!!!
Marato atachukuliwa na News media wengine!!!! Hapo juu kuna aliyesema hajasoma!!! But he knows reporting!!!!! Bisha!!!!! Wadau wengine watamchukua. Tena nina wasiwasi kuna ambao watakuwa wameshamwa aproach!!!!!
Anyway, sina ujuzi sana na hili ila na mimi nasubiri mwisho wake. Tusubiri aongee leo!!!!