News Alert: Masha awasalimia Keko..

News Alert: Masha awasalimia Keko..

- Ni kweli kwamba Masha alienda kuwaona watuhumiwa kule rumande hilo nimethibitisha baada ya kuongea, na nikauliza why kwa nini alienda? nimeambiwa kwamba kwanza Yona ni family friend na besides kuna "mkono mzito sana" uliomtuma na kumpa baraka za kwenda huko.

- Wakuu again kama ninavyosema mara nyingi kuna ambayo huwa hatuwezi kuyaweka hapa mpaka papoe, nimejaribu sana kuyasema anyways as much as I can, ninaomba nijaribu kuiweka ninavyoweza bila kugusa nisipotakiwa besides all inafahamika kwamba anayetafutwa hasa ni nani!

I hope this post inaweza kusaidia angalu kidogo on this ishu ya Masha kwenda huko rumande!

Thanxs!

Huo mkono mzito ni hupi? Basi naona hapa kama "bao la mkono wa mungu" la Maradona kama linataka kujirudia.

Kwa nini asiende mke wake na hiwe Masha? bado haiingii akilini sawa sawa. Masha katika hili anamawaa! unless anasababu ya msingi to the contrary
 
FMES,Mwanakijiji,

..magereza ni moja kati ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya waziri wa mambo ya ndani. kwanini wananchi wana tatizo na Waziri Masha kutembelea rumande ya Keko?

..kutumia gari "binafsi" isiwe kigezo, as long as ametembelea eneo lake la kazi. nimeshuhudia mara nyingi tu mawaziri wakiendesha magari binafsi kwenda kazini kufanya kazi za umma.

..halafu wizara ya mambo ya ndani ina magari mengi tu yenye number plate za magari binafsi. hata Mramba na Yona walipelekwa Keko kwa kutumia gari lenye namba binafsi.

..sina uhakika kama Taasisi ya Rushwa inayoshughulikia kesi ya Mramba na Yona iko chini ya Wizara ya mambo ya Ndani. sasa hebu tuchukulie kwamba iko chini ya Waziri Masha. Hivi tunategemea he will be more effective kuingilia mwenendo wa kesi hii by working behind the scene toka Wizarani, au kwa kutembelea rumande ya Keko?

..Waziri Masha, kijana mdogo kabisa ktk uongozi, hawezi kuingilia na kuvuruga kesi nzito kama hii bila baraka za wakubwa wake wa kazi.
 
Hiyo next step natamani iwe inahusisha pia kuongeza frequence ya kijarida kutoka, iongezeke zaidi ya mara moja wka wiki

wazo gumu kweli kutekeleza ndugu yangu. Nadhani yapo magazeti mengi yanayotoka kila siku sisi tutaendelea na hii mara moja moja hivi unless kuna jambo maalum. Tukifanya zaidi ya hivyo itabidi tuishi kwa kulitegemea ndugu yangu. Wazo zuri though.
 
Waziri Masha, kijana mdogo kabisa ktk uongozi, hawezi kuingilia na kuvuruga kesi nzito kama hii bila baraka za wakubwa wake wa kazi.

Mkuu hapa sina tatizo kuwa ukurasa mmoja.
 
FMES,Mwanakijiji,

..magereza ni moja kati ya maeneo yaliyo chini ya mamlaka ya waziri wa mambo ya ndani. kwanini wananchi wana tatizo na Waziri Masha kutembelea rumande ya Keko?

..kutumia gari "binafsi" isiwe kigezo, as long as ametembelea eneo lake la kazi. nimeshuhudia mara nyingi tu mawaziri wakiendesha magari binafsi kwenda kazini kufanya kazi za umma.

... Hivi tunategemea he will be more effective kuingilia mwenendo wa kesi hii by working behind the scene toka Wizarani, au kwa kutembelea rumande ya Keko?

..Waziri Masha, kijana mdogo kabisa ktk uongozi, hawezi kuingilia na kuvuruga kesi nzito kama hii bila baraka za wakubwa wake wa kazi.

Jokakuu,

A couple of problems with your arguments there.

One, if it was official visitation by the Minister in charge of prisons then it would have to be purposeful, and ideally the purpose announced publicly. You don't visit a prison for the purpose of consoling a couple of alleged thieves of the country's billions, not officially.

Second, kuna kitu kinaitwa appearance of impropriety. Inabidi kiongozi ajaribu ku avoid appearance of impropriety hata kama hakuna - japo sisi hatujui kama hakuna - impropriety.

Third, the fact that Masha is a peon Minister with no influence to call the shots has got nothing to do with our gripe here. We don't care who is in charge of the corrupt interference of judicial process or which car he drove down to the prisons to do his dirty business. We just don't want the influence, period, whether Masha is calling the shots or he is just a clueless minion messenger sent to pass along some chicanery message from Kikwete himself.

At the end of the day there is an appearance of impropriety which is unfortunate and deplorable. Minister Masha ought to be ashamed of this dirt shady conduct.
 
Hapo umenena mkuu, Hata ukiangalia aina ya mashtaka waliyonayo inaonyesha kuwa huu ni usanii mtupu. Mi naoana hii mechi imeshachezwa mezani na matokeo yanafahamika. Ushindi ni tumepigwa Tatu bila.(3:0)

Kama unafuatilia hata kwa taarifa za habari za jana jioni maoni mengi ya wadanganyika yalikuwa ni kutoa pongezi nyingi tu kwa Kikwete na Kwa Serikali. Utadhani Kikwete ndo kawafungulia Mashtaka. Na hilo ndo liliokuwa lengo. Kupunguza presha za Wadanganyika. Na kama hamuamini huo ni Usanii subirini muone. Kesi haitaisha itapigwa kalenda weee then kama kawaida yetu tutasahau na ndio mwisho wa kesi

Lengo kuu la SISIEM hata kwenye katiba yao linasema ni Kushinda Uchaguzi so kwa gharama yoyote ile hata kama ni kutoa kafara baadhi ya watu watafanya ili mradi tu Washinde UCHAGUZI.
Wadanganyika Wenzangu Wake-Up please siyo muda wa kulala tena.

...Could be, but at what a cost! Somehow, just somehow, I dont see Mramba or Yona wakikubali kuwekwa benchi lililochakaa la mahakama wakitokwa jasho, kutangazwa, na kuonekana,ulimwengu mzima kuwa wanashukiwa kutumia madaraka yao vibaya, kuwa katika hatari ya kukosa harusi ya binti, kulala keko potelea mbali kwenye VIP cubicles etc...just so SISIEM washinde 2010??...all this at a cost of more mipasuko in the chama ranks because these guys also have followers in the chama who definitely right now are not too happy about this...?? Convince me this is just an usanii!
 
Mimi sina tatizo na Masha kutembelea wenzake au marafiki zake. Kama aliwatembelea kwa capacity yake kama raia wa Tanzania, sioni tatizo hapo. Tumeambiwa kwamba alikwenda pale privately tena kwa gari lake binafsi na sio lile la serikali.
 
Kuhani said:
Jokakuu,

A couple of problems with your arguments there.

One, if it was visitation by Minister in charge of prisons then it would have to be purposeful, and ideally the purpose announced publicly. You don't visit a prison for the purpose of consoling a couple of alleged thieves of the country's billions.

Second, kuna kitu kinaitwa appearance of impropriety. Inabidi kiongozi ajaribu ku avoid appearance of impropriety hata kama hakuna - lakini sisi hatujui kama hakuna - impropriety.

Third, the fact that Masha is a pawn Minister with no influence to call the shots of improper influence has got nothing to do with our gripe here. We don't care who is in charge of the corrupt interference of judicial process or which car he drives down to the prison do to the dirty business. We just don't want the influence, period, whether Masha is calling the shots or he is just a clueless minion messenger sent to pass along some chicanery message from Kikwete himself.

At the end of the day there is an appearance of impropriety which is unfortunate and deplorable. Minister Masha ought to be ashamed of this dirt shady conduct.

Kuhani,

..at the end of all this we have to ask ourselves: what has been the results of Masha's visit to Keko prison? how can he as the Minister of Home Affairs influence the conduct and outcome of this case? au kama institutions like PCCB ziko chini ya wizara ya Masha.

..I am raising these questions so that we could depart frm discussing "petty" things like whether Minister Masha used "private" transportation in his visit to the prison or not.

..lastly, wa-Tanzania, understandbly, have become too cynical na viongozi wetu. suala la "impropriety" linaweza kuwa raised kwa jambo lolote, na wakati wowote. sintoshangaa mwingine akizuka hapa na kudai Masha visited Keko remand last month kama maandalizi ya kuvuruga kesi hii.
 
Lakini si alienda kama Masha na si Waziri Masha?

anatia hitirafu kesi,na kwa namna fulani gereza.Yeye ni waziri ambaye polisi magereza wako chini yake.

Eti alienda kama Masha sio waziri.
 
"- Ni kweli kwamba Masha alienda kuwaona watuhumiwa kule rumande hilo nimethibitisha baada ya kuongea, na nikauliza why kwa nini alienda? nimeambiwa kwamba kwanza Yona ni family friend na besides kuna "mkono mzito sana" uliomtuma na kumpa baraka za kwenda huko."


Mkuu FMES
"Mkono Mzito" huu ndio uleule uliotajwa kwenye kushinikiza magodown ya Manji au "Mkono Mzito" huu ni tofauti???... tunaomba utumegee kahint mkuu.
 
I said it from the beginning...I am not sold on this mirage of justice.
 
Kwa Masha kwenda huko kumeharibu credibility yake. Na vilevile kimetia doa kwenye credibility ya serikali ambayo ni kama inaaza kurudi. Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kusema unamkatama mtuhumiwa wa ujambazi halafu wewe mwenyewe unakwenda kumsalimia mahabusu na kumpa chai, Maana yake nini? Kweli sehemu aliyokwenda iko chini ya ofisi yake, na ana haki ya kwenda anytime of the day and for whatever business inayohusiana na kazi yake. Lakini swali ni kuwa kwanini aende sasa na sio before? alikwenda kufanya nini? kupeleka "simu" au kukagua hali ya mahabusu? Kitendo cha kutosema kilichompeleka tayari kimetia doa. Lakini hapa ni kama we are beating around the bush not the bush itself. We have to know who Masha went on behalf of, anaweza kuwa messenger tu. Lakini kuwa mjumbe wa mtu mbaya ni jambo baya vilevile.
 
Kwa Masha kwenda huko kumeharibu credibility yake. Na vilevile kimetia doa kwenye credibility ya serikali ambayo ni kama inaaza kurudi. Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kusema unamkatama mtuhumiwa wa ujambazi halafu wewe mwenyewe unakwenda kumsalimia mahabusu na kumpa chai, Maana yake nini? Kweli sehemu aliyokwenda iko chini ya ofisi yake, na ana haki ya kwenda anytime of the day and for whatever business inayohusiana na kazi yake. Lakini swali ni kuwa kwanini aende sasa na sio before? alikwenda kufanya nini? kupeleka "simu" au kukagua hali ya mahabusu? Kitendo cha kutosema kilichompeleka tayari kimetia doa. Lakini hapa ni kama we are beating around the bush not the bush itself. We have to know who Masha went on behalf of, anaweza kuwa messenger tu. Lakini kuwa mjumbe wa mtu mbaya ni jambo baya vilevile.

Mkuu
Bahati mbaya sijawahi kuona hata hiyo credibility sembuse kuiharibu I'm vere sore kwa hili
 
Aliulizwa: "Mhe. Je ulikutana na kina Mramba au Yona" Jibu lake ni kuwa "nani nimekutana nayo nyie haiwahusu"
 
Wakuu sometimes tunakwenda out of the lines na hizi uncalled and unconstructive criticism! Au kwa sababu tu ni Minister Masha? a successful young man and larger than life at his age of 30s?

MAADILI GANI MNAYOYAZUNGUMZIA HAPA? MASHA HATA JUZI ALIKWENDA PALE KISUTU NA ALISALIMIANA NAO PUBLICLY.
UWAZIRI WAKE HAMFUNGI KUONGEA AU KUMTEMBELEA MTUHUMIWA PALE ANAPOSHIKILIWA NA VYOMBO VYA SHERIA.
NARUDIA TENA MASHA YUKO SAHIHI KAMA MTANZANIA, KIONGOZI NA MWANASHERIA

Habari za ndani kabisa ni kuwa Masha hakwenda Keko hizi ni rumors ambazo hazina msingi wowote.
Tuwe waangalifu

Lo !! masikini !!

Aliulizwa: "Mhe. Je ulikutana na kina Mramba au Yona" Jibu lake ni kuwa "nani nimekutana naye nyie haiwahusu"

Duh, tuna safari ndefu. Hii jeuri huyu kijana anaitoa wapi - when will some of these amateurs ever learn ? -ama ni yale yale ya birds of a feather ya kuleni majani na vijisenti. Tuendeleze mapambano ila tujihadhari na mabweha. Akumulikaye mchana, usiku atakuchoma - hivyo lazima tukae macho.
 
Huyu Waziri Masha atueleze alichofuata huko na ikiwa dhamana itabadilishwa ina maana hata adhabu au kuachiwa kwao ni rahisi pia. Jamani Watanzania tuungane tuseme sasa basi imetosha kama ni noma na iwe noma.
 
Huyo jamaa anajiharibia reputation yake kwenye jamii. Kwa sababu kitu alichokifanya alitakiwa awe anakifanya kabla kutokana na hayo magereza kuwa chini yake yeye kama Waziri. Hata hivyo sitamlaumu kama binadamu naye ana hisia hususan kwa mtu aliyemzoea kama Mramba katika vikao vya Bunge na Waziri na mtu wake wa karibu katika chama na hata mahusiano yao ya kifamilia. Ila hilo la yeye kuwa Waziri wa mambo ya ndani ilhali watu wanateswa magerezani na wengine hawana hatia akawa kafumba macho. Leo kakamatwa Mramba basi kiguu na njia, hilo ni tatizo wananchi hawatamuelewa.
 
Kuhani,

..at the end of all this we have to ask ourselves: what has been the results of Masha's visit to Keko prison? how can he as the Minister of Home Affairs influence the conduct and outcome of this case? au kama institutions like PCCB ziko chini ya wizara ya Masha.

..I am raising these questions so that we could depart frm discussing "petty" things like whether Minister Masha used "private" transportation in his visit to the prison or not.

..lastly, wa-Tanzania, understandbly, have become too cynical na viongozi wetu. suala la "impropriety" linaweza kuwa raised kwa jambo lolote, na wakati wowote. sintoshangaa mwingine akizuka hapa na kudai Masha visited Keko remand last month kama maandalizi ya kuvuruga kesi hii.


JokaKuu,

Hapa nadhani unakosea. Kwa huyu mheshimiwa kutembelea mahabusu kunatia dosari maamuzi yeyote yatakayotokea dhidi ya watuhumiwa. Wakiachiwa, watu watasema ni kutokana na ujumbe wa huo mkono mzito. Wakifungwa, itasemekana hivyo. Credibility ya the whole judicial system itaonekana ina walakin.

Arguments kuwa alienda kuwatembelea kama raia mwingine does not hold water. Swali la kwanza linalokuja ni je alifuata taratibu zinazomiliki utembeleaji wa raia wa kawaida? Mathlani, je alienda wakati wa kutembelea mahabusu? Je, alionana na hao mahabusu katika sehemu ambayo raia wa kawaida huwa wanawaona mahabusu?

Sasa tunaambiwa kuna simu alipigiwa hakimu, halafu tunasikia kuwa alitumwa na mkono mzito n.k. Kwa nafasi yake kama wakili aliyebobea, alipaswa kuuambia huo mkono mzito kuwa hatua kama hiyo ni improper to the extreme!

Ishu ya kwamba alitumia gari lake binfsi is not petty at all. Kwa kufanya hivi ndiko kunajenga hoja kuwa alienda kule kama raia wa kawaida and not katika capacity yake kama waziri. kwa kufanya hivi vile vile kunaleta hisia kuwa safari yenyewe ilikuwa ya kujificha. Which brings other issues to the fore!

Unakuwa naive unaposema kuwa yeye kama waziri hawezi kuvuruga kesi yenyewe. Huyu kama waziri ni sehemu ya kabinet kwa hiyo ana sikio la viongozi wote wa juu katika nchi yetu. Huyu akimpigia simu hakimu na kusema kuwa ni maagizo kutoka mkono mzito, ataaminika. Hapana, huyu si kama Fundi Mchundo. Huyu ni Mkuu katika nchi yetu.

Kama hakutumwa, he should apologise and tender his resignation. Though I am not holding my breath on this one.

Nadhani wenzetu wanasema; Justice should not only be done but it should be SEEN to be done. Au kitu kama hicho.

Amandla......
 
Back
Top Bottom