Mwanri amekuwa Naibu Waziri TAMISEMI.Kwangu naweza nikawa tofauti kidogo na wana JF waliowengi na comment zao kwakuwaangalia watu wafuatao.
1.Uteuzi wa Celina Kombani TAMISEMI kama Waziri unaweza ukasaidia kuimarisha utendaji kwani Kombani amefanya kazi kwa muda mrefu serikali za Mitaa na ata baadaye alipokwenda kusoma na kurudi kwenda SUA kama Afisa Utumishi kule.Ninaweza nikawa na Imani naye.
Kawambwa ninaimani naye kwani kwa muda mrefu yeye hana kashfa yoyote na si mtu wa kupenda popularity yeye ni mtu wa kazi na Engineer huyu kumpeleka Miundombinu ni sawa kabisa kulingana na proffessional yake.Pamoja kwamba watu ni walewale lakini unapopelekwa baadhi ya wizara kulingana na utaalamu wako na uzoefu unaweza ukafanya jambo la kueleweka.
Nawasilisha.
1.Uteuzi wa Celina Kombani TAMISEMI kama Waziri unaweza ukasaidia kuimarisha utendaji kwani Kombani amefanya kazi kwa muda mrefu serikali za Mitaa na ata baadaye alipokwenda kusoma na kurudi kwenda SUA kama Afisa Utumishi kule.Ninaweza nikawa na Imani naye.
Kawambwa ninaimani naye kwani kwa muda mrefu yeye hana kashfa yoyote na si mtu wa kupenda popularity yeye ni mtu wa kazi na Engineer huyu kumpeleka Miundombinu ni sawa kabisa kulingana na proffessional yake.Pamoja kwamba watu ni walewale lakini unapopelekwa baadhi ya wizara kulingana na utaalamu wako na uzoefu unaweza ukafanya jambo la kueleweka.
Nawasilisha.