O oil sumu JF-Expert Member Joined Jun 26, 2013 Posts 787 Reaction score 47 Jul 4, 2013 #1 Mbona kwenye cut off point ya udom ilikuwa ni 4 kwa b.a ed lakini kuanzia tar 1/7 imekuwa ni 2.5 tatizo ni nini!
Mbona kwenye cut off point ya udom ilikuwa ni 4 kwa b.a ed lakini kuanzia tar 1/7 imekuwa ni 2.5 tatizo ni nini!
gbrother JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 408 Reaction score 51 Jul 4, 2013 #2 Demand ya wanafunzi wenye point 4 ni ndogo.
O oil sumu JF-Expert Member Joined Jun 26, 2013 Posts 787 Reaction score 47 Jul 4, 2013 Thread starter #3 hapa si tunapoteza dhamani ya chuo!
authentic JF-Expert Member Joined Mar 18, 2013 Posts 663 Reaction score 241 Jul 4, 2013 #5 oil sumu said: hapa si tunapoteza dhamani ya chuo! Click to expand... ebu tupe thamani inayopotezwa
Erick zeph Stanley JF-Expert Member Joined Apr 25, 2013 Posts 647 Reaction score 72 Jul 4, 2013 #6 gbrother said: Demand ya wanafunzi wenye point 4 ni ndogo. Click to expand... hzo ni system error tu coz wapo wenye cutt off point chini ya 4 walijaribu kuweka Udom baada ya kuona hiyo 2.5 lkn wakaandikiwa NO
gbrother said: Demand ya wanafunzi wenye point 4 ni ndogo. Click to expand... hzo ni system error tu coz wapo wenye cutt off point chini ya 4 walijaribu kuweka Udom baada ya kuona hiyo 2.5 lkn wakaandikiwa NO
A Abelian JF-Expert Member Joined Mar 8, 2013 Posts 204 Reaction score 33 Jul 4, 2013 #7 Udom kipo wapi? maana nime-google top 100 university kwa Africa hata sijakiona
O oil sumu JF-Expert Member Joined Jun 26, 2013 Posts 787 Reaction score 47 Jul 4, 2013 Thread starter #8 Lakini hiyo n kwel sasa hiv n 2.5
F Flammable JF-Expert Member Joined May 1, 2013 Posts 872 Reaction score 103 Jul 4, 2013 #9 Jaribu uone km utachukuliwa,jamaa mwenyewe mwenye cutt of point ya 4 imeandikwa NO sembuse 2.5.Tht's system error kjana
Jaribu uone km utachukuliwa,jamaa mwenyewe mwenye cutt of point ya 4 imeandikwa NO sembuse 2.5.Tht's system error kjana
clever boy ze don Member Joined Jun 25, 2013 Posts 65 Reaction score 11 Jul 4, 2013 #10 Flammable said: Jaribu uone km utachukuliwa,jamaa mwenyewe mwenye cutt of point ya 4 imeandikwa NO sembuse 2.5.Tht's system error kjana Click to expand... ni kwel me nna point3 nmeweka udom wamenikubalia ni siku ya pili ss \
Flammable said: Jaribu uone km utachukuliwa,jamaa mwenyewe mwenye cutt of point ya 4 imeandikwa NO sembuse 2.5.Tht's system error kjana Click to expand... ni kwel me nna point3 nmeweka udom wamenikubalia ni siku ya pili ss \
B Ba Nido Member Joined Apr 20, 2013 Posts 47 Reaction score 15 Jul 4, 2013 #11 Ulitaka kiwepo wakati hakina hata miaka 10, angalia UDSM ina muda gani ni ipo kwenye nasafi gani.
Landcruiser JF-Expert Member Joined May 27, 2013 Posts 1,805 Reaction score 599 Jul 4, 2013 #12 UDSM nafac ya sita Africa