News from tcu!

News from tcu!

oil sumu

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
787
Reaction score
47
Mbona kwenye cut off point ya udom ilikuwa ni 4 kwa b.a ed lakini kuanzia tar 1/7 imekuwa ni 2.5 tatizo ni nini!
 
Udom kipo wapi?
maana nime-google top 100 university kwa Africa hata sijakiona
 
Jaribu uone km utachukuliwa,jamaa mwenyewe mwenye cutt of point ya 4 imeandikwa NO sembuse 2.5.Tht's system error kjana
 
Ulitaka kiwepo wakati hakina hata miaka 10, angalia UDSM ina muda gani ni ipo kwenye nasafi gani.
 
Back
Top Bottom