Next Black Panther (Parody)

Next Black Panther (Parody)

Samuel Jackson kama mkuu wa Avengers hawezi kua Black panther.

Binafsi naamini Jamie Foxx ni candidate mzuri. Pia inaniuma kwamba hatuna actor wa bara la Afrika tunayeweza kumtaja.

Imagine Vincent Kigosi maarufu kama Ray awe character ya Black panther
Aaron Pierre naona atakuwa na cast nzito sana 2025 😃 ila Character ya Kanye West it's good! Ingawa pia kuna Raia wazuri tu Africa wanaweza kucheza character hii
 
Hata mama yake Tupac Shakur alikuwa ni member wa black panther...
Halafu kuhusu harakati kama ulitizama filamu inaitwa Judas and Black Mesiah, ndani walikuwepo black panthers, namuona hata Fred Hampton atafaa sana kucheza, kwa jinsi alivyocheza kwenye Judas and black mesiah.
f4b4575caf63a4753c57c348566366ff.jpg
Daniel Kaluuya ameshacheza uhusika wa W'Kabi, mume wa Okoye 😊 Hapo sidhani ataweza kucheza tena uhusika wa Black Panther
 
Aaron Pierre naona atakuwa na cast nzito sana 2025 😃 ila Character ya Kanye West it's good! Ingawa pia kuna Raia wazuri tu Africa wanaweza kucheza character hii
Movie moja tu nimewahi ona Kanye West kaigiza na sidhani kama inaguarantee kucheza character ya Black panther.

Jamie Fox na Daniel Kaluuya kwangu ni candidates bora. Ila Kaluuya itabidi atransform physically
 
Hapa kuna matatizo sana.

Black Panthers wanatakiwa wawe cast wawili. Kuna mkubwa ambaye atakuwa ni variant kwenye hizi storyline za multiverse, na kuna mdogo, yule Toissant mtoto wa T'Challa, ambaye wanataka wamuweke akiwa mkubwa(miaka 10 zaidi)

Kuhusu huyo mdogo, hakuna taarifa zimetoka.

Kuhusu huyo mkubwa, waigizaji wanakataa hiyo role. Damson Idris ameikataa. John Boyega ameikataa, David Oyelowo amaeikataa.

Inasemekana wanaikataa kwasababu wamegundua waigizaji weusi wanafuatiliwa sana wakiwa kwenye roles kubwa, kwahiyo linaweza kuwatokea lile lililomtokea Jonathan Majors na role yake ya Kang.

Damson Idris ni wa moto sana siku hizi, alitaka kuchukua role ya John Stewart DC, sema Aaron Pierre akaipata. Anaona kama kuigiza role ndogo ya kuwa variant hakumtoshi.

John Boyega anasita sita kufanya kazi na disney, kuna role aliicheza kwa ajili ya disney wakashindwana.

David Oyewolo amekatataa vikali, amesema haiwezi legacy ya Chadwick Boseman.

Actors wawili waliowahi kusema wangependa kuigiza black panther ni Aldris Hodge, na Y'lan Noel.

Mashabiki wanampendelea Aldris Hodge kwasababu ya jinsi alivyoigiza Hawkman kwenye Black Adam.
 
Hapa kuna matatizo sana.

Black Panthers wanatakiwa wawe cast wawili. Kuna mkubwa ambaye atakuwa ni variant kwenye hizi storyline za multiverse, na kuna mdogo, yule Toissant mtoto wa T'Challa, ambaye wanataka wamuweke akiwa mkubwa(miaka 10 zaidi)

Kuhusu huyo mdogo, hakuna taarifa zimetoka.

Kuhusu huyo mkubwa, waigizaji wanakataa hiyo role. Damson Idris ameikataa. John Boyega ameikataa, David Oyelowo amaeikataa.

Inasemekana wanaikataa kwasababu wamegundua waigizaji weusi wanafuatiliwa sana wakiwa kwenye roles kubwa, kwahiyo linaweza kuwatokea lile lililomtokea Jonathan Majors na role yake ya Kang.

Damson Idris ni wa moto sana siku hizi, alitaka kuchukua role ya John Stewart DC, sema Aaron Pierre akaipata. Anaona kama kuigiza role ndogo ya kuwa variant hakumtoshi.

John Boyega anasita sita kufanya kazi na disney, kuna role aliicheza kwa ajili ya disney wakashindwana.

David Oyewolo amekatataa vikali, amesema haiwezi legacy ya Chadwick Boseman.

Actors wawili waliowahi kusema wangependa kuigiza black panther ni Aldris Hodge, na Y'lan Noel.

Mashabiki wanampendelea Aldris Hodge kwasababu ya jinsi alivyoigiza Hawkman kwenye Black Adam.
Kuna channel ya reddit wanadai hata Russell Hornsby naye aliwakataa walitaka kumpa nafasi ya Variant akaona miyeyusho mapema. Eric Kofi Abrefa wanampigia chapuo naona confidence yake bado sana
 
Aaah si nyngi nitaichek..

vp yule dada roxie kwenye let it shine., una habari zake?

Nilihsi atakuwa mke wa tyler james(cyrus)..
Roxie alishindwa kubalance stardom binti wa watu, ukiachana na Let it Shine hakuna kingine cha msingi zaidi ya kuwepo kwenye Bel-Air. Let it shine ilipaa kutokana na Cyrus sio Rosie, ndo maana walimuondoa kwenye Hollywood Records chap walivyoona hana faida tena.
 
Back
Top Bottom