Elections 2010 Next PM

Elections 2010 Next PM

bila shaka waziri mkuu hatakuwa pinda, even me niliota pinda ameomba kupumzika na mkulu akakubali, jamaa aliyetajwa ni msanii sanii fulani ila yupo serikalini.

ni lukuvi kwani ni msanii?
 
Nimeota ndoto kuwa Mizengo Pinda si Waziri Mkuu ajaye. Atakayekuwa PM ni mtu aliyekuwepo serikalini asiye na jina ambaye kuwepo kwake ni kama yupo hayupo!!!!:thinking::thinking::thinking::sad::sad::sad::A S cry::A S cry::A S cry:

basi hiyo ndoto yako ilipoisha ikahamia kwangu mi nikaota, ccm woote wametumbukia C>H>O>O>N>I na wametapakaa kinyesi
harafu CUF, NEC, Waandishi wa habari wanasafisha kile kinyesi kwa kuwaramba, ha ha haaa na wale watangazaji wa ile redio ya mawingu walikwepo wakiongozwa na Kim bondee
 
Back
Top Bottom