Thomas Odera
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 673
- 154
Kalonzo hawezi kuwa rais wa Kenya kwa namna yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This time sidhani kama tutapata mshindi in the first round.Uhuru anaweza kushinda. Ingawa wataenda round ya 2 na Raila
Mimi siyo Msukuma, isitoshe kwa nini ziko hapa JF kama ulitaka nisichangie?
Umenichekesha sana. Huyu msukuma tumeingia choo cha like mkuuNi Msukuma mwenzio, njoo umpigie debe kama ulivyompigia Magu.
Hapa ni JF Tanzania mali ya Tanzania, na siyo JF Kenya au sijui Uganda!
kwa nini mgobane sasa,vile mtu yeye kasema siyo msuku ni nini gani sasa kumforceMimi siyo Msukuma, isitoshe kwa nini ziko hapa JF kama ulitaka nisichangie?
Tengeneza jamvi la wakenya tu hapa toka kama hautaki wengine wachangie politics za kwenye wakati hata mambo ya kwenye bible na Qur'an tunajadili hapaKwani wewe ni gani inatawala uko kwenyu? Usiikatae leo kesho ukasema ndio. Umeona sisi nachangia politcs senu?
Kwani wewe ni gani inatawala uko kwenyu? Usiikatae leo kesho ukasema ndio. Umeona sisi nachangia politcs senu?
Uhuru anaweza kushinda. Ingawa wataenda round ya 2 na Raila
Ni Msukuma mwenzio, njoo umpigie debe kama ulivyompigia Magu.
Umepasi,umehitimu uswahili swahili wa mtanzania na alama za juu kabisa!Ni Msukuma mwenzio, njoo umpigie debe kama ulivyompigia Magu.
Anaitwa Kalonzo Musyoka,rafiki wa karibu wa Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu wa Rais Mstaafu,wa term ya mwisho ya Rais Kibaki.Ndo nani huyo? Na anatoka Kundi gani? Kalenjin, Mjaluo au Pokot?
UkabilaAll will win but not a Mukamba. Bado sana cause, Hawatabiriki. RAO is the only weapon
Huyu ni mkambaNdo nani huyo? Na anatoka Kundi gani? Kalenjin, Mjaluo au Pokot?
Kama atatumia uhuni kama wa uchaguzi uliopita atashinda, lakini kiuhalisia muungano wa NASA kushindwa na Jubilee ndi ndoto.Uhuru anaweza kushinda. Ingawa wataenda round ya 2 na Raila
Hivi do you believe UHURU alishinda uchaguzi uliopita?This time sidhani kama tutapata mshindi in the first round.
Uhuru anaweza kuibuka mshindi ila kufikisha 50% itakuwa vigumu.
Yule atakuwa wa pili 1st round, atakuwa mshindi 2nd round.
Huu ni mtazamo wangu kibinafsi