Wachana na mifano mfu hapaHakuna uhuru wa kujieleza wa kuvunja maadili na kutukana,kama ndio uhuru unataka mpe mwanao awe anakutusi na kudharau
Tunasema hivi kama hutaki kukosolewa
Achana na siasa kaa nyumbani kwako na mkeo au mumeo na hakuna atakayekufua
Kama sentensi fupi kama hii mmeshindwa kuielewa mna nini mtakachoweza kuisaidia hii nchi
Mbona mambo ni rahisi tu
Matusi wewe unayajua kweli chief?