Ney wa mitego ahamia kwenye mjengo Wake mpya

Ney wa mitego ahamia kwenye mjengo Wake mpya

Kazitunayo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2013
Posts
3,782
Reaction score
3,199
rapa mwenye stail ya kipekee amehamia kwenye mjengo wake mpya ulioko kimara korongwe
alioujenga kwa gharama ya million 180 uu ni muendelezo wa nyumba zake 3 ambazo ziko kwenye hatua ya nwisho
kwa picha zaid tembelea
 
Daimond wapiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!
Huo mjengo picha wajameniii
Hongera
 
hio 180m ni inclusive na furniture na mapazia??? au???
its high time these guys woke up..
use lawyers for music contracts..
use quantity surveyors for building contracts..
its high time they go professional
 
180M mjengo ukoje huo jaman? Nipeni ufafanuzi jaman maana 180 ni mjengo hatari!!
 
hio 180m ni inclusive na furniture na mapazia??? au???

Itakuwa tena plus gar na kiwanja, kibongobongo nyumba ya 180milio sio mchezo, ni bonge la nyumba..

Nimependa house yake ipo simple na nzur
 
Kama ni nyumba yako kweli basi hongera
IMG_0547.jpg
 
Back
Top Bottom