Ney wa mitego ahamia kwenye mjengo Wake mpya

Ney wa mitego ahamia kwenye mjengo Wake mpya

Hili jamaa kumbe lina akili nilikuwa namchukulia poa sana ila kwa huo mjengo salute!!!!
 
Kweli sanaa ni ajira, vijana wenye vipaja hebu jaribu kutumia vipaji vyenu huenda mkatokea huko kama hawa wakina Ney.
 
rapa mwenye stail ya kipekee amehamia kwenye mjengo wake mpya ulioko kimara korongwe
alioujenga kwa gharama ya million 180 uu ni muendelezo wa nyumba zake 3 ambazo ziko kwenye hatua ya nwisho
kwa picha zaid tembelea

Hvi unaijua nguvu ya milion 180 kwl au unaongea tu?mbna hamuwek picha tuone hyo nymba ya hyo thman??
 
Millard Ayo utaanza kupoteza umaarufu wako!
Ungesubilia walau 1.4 hv!
Maana 180M ni hatari tuacheni utani eti
 
Hongera zake kajitahidi sana ila 180m uwongo,wa2 wanakuza bei za vitu sana gari ya 25m anasema 38m duu,hiyo nyumba pamoja na kila ki2 haifiki 90m mana ni nyumba ndogo kma ya 3 bedroom.halafu cjui kajua kuvaa kyupi au boksa ukubwani

Halali yake hii house ni Mil 50 lakini nampongeza mno kwani wengine hukalia starehe halafu wanaishia kupanga
 
Halali yake hii house ni Mil 50 lakini nampongeza mno kwani wengine hukalia starehe halafu wanaishia kupanga

Real mkuu ikizidi sana pamoja na kiwanja 70m,hizi tabia za kuongeza sifuri wasanii wamezoea ommy dimpoz alinunua mark x akasema 35m kanunua wakti ni gari ya 18m yard,ukiagiza inaingia na 15m.
Sijui wanaona wa2 hawajui bei za vi2 180m unanunua nyumba ya mana mbezi beach au salasala
 
M180 pamoja na hio gari!

Watu wanafanya mchezona Tsh. 180m! Hiyo ni pesa ndefu sana kwa huo mjengo, hawa drug trafikers wetu wengi wanaokamatwa Viwanja vya ndege mizigo yao haifiki hata sh.100m halafu mtu anadai hiyo nyumba ni 180m! Hizo ni promo tu.
 
Watu mbona mu wagumu kuelewa,,m 180 Ni pamoja na yeye na hilo gari, kusoma hamuwezi hats picha hamuoni???? Picha inaonyesha nn kwani???
 
Back
Top Bottom