Ney wa Mitego asafirishwa kutoka Morogoro kwenda Dar

Ney wa Mitego asafirishwa kutoka Morogoro kwenda Dar

Sifurahii yeye kulala mahabusu ila sijawahi kukubali kazi zake huyu bwana.

Mnafiki tu kama Bashite anakanyaga migongo ya wenzie wanyonge ili afikie malengo yake, nyimbo zake zimejaa matusi na kejeli tu na personal attacks kwa innocent people bila kuwa na consciousness yeyote but this times kakanyaga makusudi pabaya kwa Ngosha....maji ataita mma!!. He is simply a snitch.

Sometimes madikteta yana raha zake bhana. Ngosha get that punk ass nigga.

ROMA is the real deal.
Nay anaweza akawa nh mnafiki ila sidhani kama anafikia level zako.
 
Ney ukishawashinda maakamani uwashushie tenavesi ya ukweli,wanataka kucheza na watu,kichaa kapewa Rungu hoii.
 
Sifurahii yeye kulala mahabusu ila sijawahi kukubali kazi zake huyu bwana.

Mnafiki tu kama Bashite anakanyaga migongo ya wenzie wanyonge ili afikie malengo yake, nyimbo zake zimejaa matusi na kejeli tu na personal attacks kwa innocent people bila kuwa na consciousness yeyote but this times kakanyaga makusudi pabaya kwa Ngosha....maji ataita mma!!. He is simply a snitch.

Sometimes madikteta yana raha zake bhana. Ngosha get that punk ass nigga.

ROMA is the real deal.
Umetumwa wewe sio bure
 
Najaribu kupita pita huko na huko,kuperuzi na kudadisi lakini hadi muda huu tangu nay akamatwe sijapata ubuyu wowote unaonyesha kuwa hawa watu kama ule umoja wao ulivyo muda huu basi tungeona selfie za kutosha huko mitandaoni za masuperstar wetu wakitunyetisha kama wameshamtembelea nay au kuna lolote walolifanya hadi sasa kuhakikisha msanii mwenzao anatoka nje
Big up sana harmorapa kama ulifanikiwa kumuona naye,nasubiri na wengine ambao juzi walidiriki kuungana na clouds fm na kuweka hisia zao wazi kuwa hawakupendezwa na lile tukio lilowakuta mawingu siku kadhaa zilizopita
Wapo wanamuziki ambao ni wabunge vipi mbona mko kimya sana kulikoni jamani tunahitaji sana misimamo yenu juu ya hili
Najua wasanii wengine hamjui mfanyaje maana uchaguzi ulopita mlikuwa team tofauti na wamitego,lakini mkulu alisema uchaguzi umekwisha mambo mengine yaendelee Mna msimamo gani.[HASHTAG]#free[/HASHTAG] nay wa mitego
 
unataka kukimbia na hauna break, what do you expect!
[HASHTAG]#Kesi[/HASHTAG] ya Ney ni rahisi sana, hakumtaja mtu yeyote yule katika wimbo wake. natumaini ata shinda japo huu uongozi si wamchezo mchezo.
 
hawa wengi wao ni [HASHTAG]#wapo[/HASHTAG]
Nadhani wamestukia mkulu hatishiwi nyau. Ukimtukana utapata unachostahili kwa mujibu wa Sheria na taratibu za Nchi. Kwa hili cyber crime act inahusika. Msitegemee kuna kamati itaundwa. Heshimuni mamlaka. Kosoa kwa hoja sio matusi. Tena hoja zenye Mashiko.
 
Ha ha ha aaa, Ukisikia kuisoma namba ndio hivyo, kuimba nyimbo za maadili ameshindwa ameona matusi ndio sahihi ngoja aisome namba. Pia nay wa mitengo hana mahusiano mazuri na wasanii wengi
 
Wasanii hawa hawa wa bongo??? Thubuuutu ... wakose ulaji kwenye kampeni 2020??? Ney ajue tu yuko peke yake ... hata wakijitokeza basi ni wachaaache mnoooo!!!
 
Hizi sheria za ki dictator hazina maisha marefu
Haziwezi shindana na nyakati kabisa
Tegemea anguko la hizo sheria maji yamezidi unga!!


Nadhani wamestukia mkulu hatishiwi nyau. Ukimtukana utapata unachostahili kwa mujibu wa Sheria na taratibu za Nchi. Kwa hili cyber crime act inahusika. Msitegemee kuna kamati itaundwa. Heshimuni mamlaka. Kosoa kwa hoja sio matusi. Tena hoja zenye Mashiko.
 
Sifurahii yeye kulala mahabusu ila sijawahi kukubali kazi zake huyu bwana.

Mnafiki tu kama Bashite anakanyaga migongo ya wenzie wanyonge ili afikie malengo yake, nyimbo zake zimejaa matusi na kejeli tu na personal attacks kwa innocent people bila kuwa na consciousness yeyote but this times kakanyaga makusudi pabaya kwa Ngosha....maji ataita mma!!. He is simply a snitch.

Sometimes madikteta yana raha zake bhana. Ngosha get that punk ass nigga.

ROMA is the real deal.
We si shabiki wa taarab, Ney haimbi taarab haiwezi tokea ukamkubali, about Roma labda ni jamaa yako ndo maana unamwona ni real deal.
 
harmorapa kashatimba ila sijaona picha nadhani picha ya manati ya mzungu bado inamjia kichwani
 
Back
Top Bottom