Ney wa Mitego awa Msanii wa kwanza wa Tanzania kuuona umuhimu wa Katiba mpya, atoa angalizo

Ney wa Mitego awa Msanii wa kwanza wa Tanzania kuuona umuhimu wa Katiba mpya, atoa angalizo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Don_Mbowe_(@mbowejames)_posted_on_Instagram_•_Jun_30,_2021_at_4:07pm_UTC%22_.jpg
 
Unafikiri wote wanaodai katiba ni CDM mbona CCM ni wengi tu.

kukataza ujio wa katiba ni sawa na kusimama na sinia la pilau kwenye umati wenye njaa kali.
Halafu usimame nalo Buza, Weee !!!
 
MATAGA wana jisahau sana, wanavyoona sisi tunamsifia SSH wanahisi kwamba sisi ni CCM. Hawajui, sisi tunamuunga mkono SSH kwa jambo moja kuu, kuwanyoosha CCM wenyewe.

Tuweke record sawa hapa kwenye swala la Katiba mpya;

Kwenye swala la Katiba mpya, sisi ni WATANZANIA wenye nia njema kwa taifa letu, na hatupo CCM wala UPINZANI. Na atakaepinga Katiba mpya basi tunamtangaza adui wa taifa (Iwe hata kama ni kiongozi wa upinzani, haijalishi, sisi tutazaa nae).

Katiba mpya ni kwaajili ya watanzania na vizazi vyetu vijavyo, sio kwaajili ya CCM, CHADEMA, ACT, TLP wala kwaajili ya Mzee Rungwe.
 
MATAGA wana jisahau sana, wanavyoona sisi tunamsifia SSH wanahisi kwamba sisi ni CCM. Hawajui, sisi tunamuunga mkono SSH kwa jambo moja kuu, kuwanyoosha CCM wenyewe.

Tuweke record sawa hapa kwenye swala la Katiba mpya;

Kwenye swala la Katiba mpya, sisi ni WATANZANIA wenye nia njema kwa taifa letu, na hatupo CCM wala UPINZANI. Na atakaepinga Katiba mpya basi tunamtangaza adui wa taifa (Iwe hata kama ni kiongozi wa upinzani, haijalishi, sisi tutazaa nae).
Hakika
 
Huyu naona mwakani atachukua tuzo ya BET na Grammy... kasimama na wanaharakati uchwara na wapinzani lialia wasiokuwa na hoja kudai wabadilishiwe mwongozo wa nchi, wakijua labda watashika hatamu..!!!
 
Unafikiri wote wanaodai katiba ni CDM mbona CCM ni wengi tu.

kukataza ujio wa katiba ni sawa na kusimama na sinia la pilau kwenye umati wenye njaa kali.
Kama kuna CCM yeyote yule anaeitaka katiba mpya kama jinsi inavyopigiwa chapuo na CHADEMA wengi, ujue kabisa hiyo ni Mamluki tu. CCM wa kweli hatuoni umuhimu wa hiyo katiba kwa Sasa.
 
MATAGA wana jisahau sana, wanavyoona sisi tunamsifia SSH wanahisi kwamba sisi ni CCM. Hawajui, sisi tunamuunga mkono SSH kwa jambo moja kuu, kuwanyoosha CCM wenyewe.

Tuweke record sawa hapa kwenye swala la Katiba mpya;

Kwenye swala la Katiba mpya, sisi ni WATANZANIA wenye nia njema kwa taifa letu, na hatupo CCM wala UPINZANI. Na atakaepinga Katiba mpya basi tunamtangaza adui wa taifa (Iwe hata kama ni kiongozi wa upinzani, haijalishi, sisi tutazaa nae).

Katiba mpya ni kwaajili ya watanzania na vizazi vyetu vijavyo, sio kwaajili ya CCM, CHADEMA, ACT, TLP wala kwaajili ya Mzee Rungwe.
Samia kawanyooshaje CCM?
 
Unafikiri wote wanaodai katiba ni CDM mbona CCM ni wengi tu.

kukataza ujio wa katiba ni sawa na kusimama na sinia la pilau kwenye umati wenye njaa kali.
Sinia la pilau [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom