adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Kusimama na sinia la pilau kwenye umati wenye njaa kali😀😀😀😀😀😀Mkuu comment moja ya Kibabe sana.Unafikiri wote wanaodai katiba ni CDM mbona CCM ni wengi tu.
kukataza ujio wa katiba ni sawa na kusimama na sinia la pilau kwenye umati wenye njaa kali.