Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Kama umeona kausha damu je."Kataa ndoa, Linda uchumi"- kauli ya kihuni sana kukataa ndoa ndio kuruhusu ushoga na umalaya kuongezeka.
"Ndoa kwanza ,uchumi utajijenga wenyewe" -kwanza duniani ni njiani tunapita tyuu
Hoja zipo nyingi sana.Kweli Nakataa ndoa kwa sababu binafs na siwez mshawish mtu maana wenda ipo siku nami nitabadili mawazo, Ila kuweka maudhui haya katika Record/muziki ni Upumbavu ProMax unaidhihirishia dunia kias gani wewe ni Mjinga au Mhuni.
Kataa ndoa sio Sifa japo kuna Hoja hapo😁
ZitajeHoja zipo nyingi sana.
Nimehisi kituItakuwa huyu dronedrake ndio new mwenyewe hakyanani.
YeahMda wa kuoa ukifika oa usiwasikilize watu
Huyu ni msanii TU ameamua kucheza na time na anajua wimbo wake utapigwa bar na pub huko wamejaa bachelors na spinsters
Umeona ee😊Kataa ndoa anamjazia Mama yake wajukuu daily nae anaishi hapo hapo daah
dronedrake we ndio ney wa mitego au??Ney wa Mitego yupo sahihi, asipuuzwe
Huyu anajitambulisha kwa namba 669 (kwa Hadaa ya 666).Huyu Ney naye ni team kataa ndoa ? Au ametumia tu kazi ya sanaa kufikisha ujumbe wake ?
Sikiliza ngoma lake hili la bachela
View attachment 2972383
🤣 🤣 🤣 🤣 Hapana, huyo yeye analoweka, mie ni team nyetodronedrake we ndio ney wa mitego au??
Kumbe kaoa?Mkeo Sakina unaendeleaje?
😂Ebu alie sikikiza atuandikie amesemaje (huku nilipo sina masikio)
kukataa ndoa ndio kuruhusu ushoga na umalaya kuongezeka.
Hapo namba 3 wanaongelewa Watawa wa Kikatoliki?1Timotheo 4:1 “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli”.