Neymar atammiss sana Messi Cavani ni Mwiba

Neymar atammiss sana Messi Cavani ni Mwiba

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433

Neymar lazima atammiss ex playmaker wake wa Barceloma na moja kati ya football icone Messi. Cavani ni mwiba mkali wenye ncha pande mbili. Neymar needs to push hard than when he was in Barcelona
 
Cavan ana goal scoring accuracy kubwa kumzidi neymar na wenda hata mbape akamzidi neymar sasa sijui neymar hatafanyaje kushine maana mi naona kama psg wamemnunua kufaidi mauzo ya jezi tu ila kwa magoli sidhani maana neymar hawezi kuwa mbadala wa zlatan pale psg na hivyo atateseka sana. Anyway jamaa alisema kuwa ameenda kutafuta chngamoto mpya na nadhani sasa changamoto ashaipata tiyari.
 
Cavan ana goal scoring accuracy kubwa kumzidi neymar na wenda hata mbape akamzidi neymar sasa sijui neymar hatafanyaje kushine maana mi naona kama psg wamemnunua kufaidi mauzo ya jezi tu ila kwa magoli sidhani maana neymar hawezi kuwa mbadala wa zlatan pale psg na hivyo atateseka sana. Anyway jamaa alisema kuwa ameenda kutafuta chngamoto mpya na nadhani sasa changamoto ashaipata tiyari.
exactly changamoto ndo hizi sasa
 
Cavan ana goal scoring accuracy kubwa kumzidi neymar na wenda hata mbape akamzidi neymar sasa sijui neymar hatafanyaje kushine maana mi naona kama psg wamemnunua kufaidi mauzo ya jezi tu ila kwa magoli sidhani maana neymar hawezi kuwa mbadala wa zlatan pale psg na hivyo atateseka sana. Anyway jamaa alisema kuwa ameenda kutafuta chngamoto mpya na nadhani sasa changamoto ashaipata tiyari.
Unafikiri mauzo ya jezi yatarudisha £198M??? Hata nusu ya hiyo pesa jezi hairejeshi
 

neymar lazima atammiss ex playmaker wake wa Barceloma na moja kati ya footbal icone Messi. Cavani ni mwiba mkali wenye ncha pande mbili. Neymar needs to push hard than when he was in Barcelona [HASHTAG]#NeymarMessi[/HASHTAG]

Neymar is great player.....great players don't live under other great players shadows' forever....hiyo ndiyo sababu iloyomtoa Barca kwenda PSG....He wanted to be a superstar in a team built around his strength....he wanted that no 10 jersey worn by great players...

Barca iko built around strength za mchawi wa Argentina....Neymar had leave for that reason
 
Kama NDALA za kariakoo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji123] [emoji119]
 
Back
Top Bottom