Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuwa watamu sana brazil inawezekana wakawa wanarudi ila sio kwamba walipotea sana au kiwango kimeshuka sana isipokuwa mataifa mengine nayo yameendelea walichobaki nacho ni vile vipaji na sanaa ya mpira tofauti na watu kama jeremani wenyewe kanuni tu ukitoka hapa peleka pale penetration za kung 'ang'aniza cross na wana wapiga vichwa mahiri mnarudi kati.Pale angechapa shuti la maana
Akaanza kushangalia hata goli halijaingia bana,ila amekua mzuri sana tangu aende China tofauti kabisa alivyokua Totenham
Issue nyingine ni makocha wamebadilisha sana makocha utadhani timu za Bongo ila naona kama huyu wa sasa Tite anazijua falsafa za soka la BrazilWalikuwa watamu sana brazil inawezekana wakawa wanarudi ila sio kwamba walipotea sana au kiwango kimeshuka sana isipokuwa mataifa mengine nayo yameendelea walichobaki nacho ni vile vipaji na sanaa ya mpira tofauti na watu kama jeremani wenyewe kanuni tu ukitoka hapa peleka pale penetration za kung 'ang'aniza cross na wana wapiga vichwa mahiri mnarudi kati.
Ni mapema tumpe nafasi kuna muingiliano wachezaji wanacheza ligi mbalimbali kitu kama hicho. Naikumbuka ile brazil ya kina Carlos aliulizwa mbona huko kwenu ku qualify mnapata tabu sana lakini mkija penye kombe la dunia mnafanya vizuri ?jibu alitoa kuwa wakati wa kutafuta timu za kwenda kombeni wanajumuika siku 3 mpaka 5 lakini wakati wa maandalizi ya kombe wanakuwa na muda mrefu kidogo wa kukaa pamoja.Issue nyingine ni makocha wamebadilisha sana makocha utadhani timu za Bongo ila naona kama huyu wa sasa Tite anazijua falsafa za soka la Brazil
Sawa sawa mkuu na kuna timu nyingine Amerika Kusini ni wabishi sana wakikutana na Timu kama Brazil Wanakaza SanaNi
Ni mapema tumpe nafasi kuna muingiliano wachezaji wanacheza ligi mbalimbali kitu kama hicho. Naikumbuka ile brazil ya kina Carlos aliulizwa mbona huko kwenu ku qualify mnapata tabu sana lakini mkija penye kombe la dunia mnafanya vizuri ?jibu alitoa kuwa wakati wa kutafuta timu za kwenda kombeni wanajumuika siku 3 mpaka 5 lakini wakati wa maandalizi ya kombe wanakuwa na muda mrefu kidogo wa kukaa pamoja.
Nimewatch game naona hawa sweden nao sio wabovu sana wamejitaid japo ufaransa katumia uzoefu zaid kushinda.2-1 Payet dakika ya 65.
Sio wabishi ila falsafa yao ni moja watu wa pande zile takriban wote mpira wanaujua kuna siku jamaa anahojiwa akasema kuliko kuangalia kombe la dunia ni bora aende akaangalie soka linalopigwa penye magereza na wafungwa nchini brazil na ndio maana mchezo wa soka unahusishwa sana na jamii ya chini tizama hata uswahilini ila ya miaka ile ya nyuma kabla hamjauza sehemu za wazi (open spaces ).Sawa sawa mkuu na kuna timu nyingine Amerika Kusini ni wabishi sana wakikutana na Timu kama Brazil Wanakaza Sana
huyu huwa hakabwi,akikabwa na wakabaj mbona anageuka joka la mdimu tuJana kafichwa kabisa Fenadihno alipewa kazi ya kutembea naye akashindwa kufurukuta kabisa