Neymar hana tofauti na Pogba, utoto mwingi sana!!

ndio maana mwaka ule barca alijipigia watu wakapiga kelele nyingi sana ila psg bado wanasafar ndefu kwenye uefa na pia mpira wa ufaransa kwa ujumla wake sio wa ushindani sana japokuwa mara moja moja huwa wanafanya maajabu kwenye uefa, jana timu nzima ya psg walicheza vibaya hasa upande wa dani alves ulikuwa uchochoro.
 
Neymar mbwembwe nyingi ingawa uwezo anao. Anataka kufunga yeye tu hata sehemu ya kumpa mwenzake amalizie, vitu kama hivi akipambana na timu kubwa anaigharimu timu yake
 
mbona neymar amejitahidi sana leo, hivi nyinyi mumeangalia mpira wa wapi? sababu ya kufungwa ni kupotea kwa rabiot daika za mwisho, alipotea mpaka pasi anazopiga zilikua hazifika pia alikua hawezi tena kukaba
Wewe ni mchambuzi MZURI. Neymar hakujiangusha hovyo hata chembe. Tatizo walimchezea rafu sana, walitaka afanye nini zaidi yakuanguka chini, au walitaka apae juu?. Magoli yote yaliyofungwa, tatzo ni beki walipoteana sana hasa dk za mwisho.
 
Wewe ni mchambuzi MZURI. Neymar hakujiangusha hovyo hata chembe. Tatizo walimchezea rafu sana, walitaka afanye nini zaidi yakuanguka chini, au walitaka apae juu?. Magoli yote yaliyofungwa, tatzo ni beki walipoteana sana hasa dk za mwisho.
ndio maana napenda psg acheze tiago silva, anakua si mtu wa kujisahau, kocha alishindana wa psg alishindana na zezou kwenye kufanya sab, ni kweli cavani jana hakuonekana lakini alikua analindwa sana, kiasi ambacho mabeki walikua bize kwa cavani. baada ya kutoka cavani ndo kina ramos wakaanza kutanuka na nahisi hata mfumo walibadilisha madrid. na ukiangalia mpira madrid walitafutwa tangu daika ya 50 mpaka 73. naamini kama kocha atapanga kikosi chake imara na wakicheza kwa uweledi nyumbani wana uwezo wa kuipiga madrid 2-0
 
Kabisa, yaani kati ya kosa kubwa alilolifanya kocha, Unai Emery ni kuacha kuwachezesha Thiago na Dimaria ambao ni wazoezo. "Experience is the good teacher", game kama ile ilikuwa inahitaji wachezaji wazoefu.

But second leg, wakiongeza umakini hasa forward wao pamoja na beki, bado nafasi wanayo.
 
Neymar anafikiri ulaya ni santos. Ana kazi kubwa dogo janja kwa staili ile ya uchezaji.

Ha ha haaa tena asahau ballon. Umri unamtupa tena,, kwa sasa ana 26. Baada ya 3 years atakuwa na 30 years πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ballon ataipata wapi hapo wakati Messi yupo on fire sio mchezo baba. atastaafu hana ballon or ataambulia moja tu. Mark my words mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…