ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Itakumbukwa kuwa Mwaka 2023 Mwezi wa 9, Mshambuliaji wa The Al-Hilal ya Saudi Arabia, Neymar JR alipata majeraha kwenye Goti ambayo yanamfanya kukaa nje ya Uwanja kwa Muda wa Miezi 6-12
Majeraha haya ya goti yatamfanya Neyma JR kukosa Michuano ya Copa America 2024 inayo tarajia kuanza June 2024.
Mimi ni mmoja ya mashabiki wake wakubwa Katika mpira wa miguu kutokana na Uwezo wake na Ufundi alio kuwa nao. Lakini Binafsi naona Mambo yamebadirika kwa Neymar JR Kitu kinacho nipa Mashaka kuona kama NEYMAR JR anaweza Kurudi kwenye Ubora wake ambao tumemzoea
Neyma Ameongozeka Uzito na amekuwa mnene sanaa ukilinganisha na zamani. Sote tunafahamu changamoto kubwa katika kupunguza Unene na kufanya urudi katika hali yako ya Kawaida. Je, Neymar JR Tutegemee nini Toka kwake?
PICHA ZA SASA
Linganisha na PICHA ZA ZAMANI
Majeraha haya ya goti yatamfanya Neyma JR kukosa Michuano ya Copa America 2024 inayo tarajia kuanza June 2024.
Mimi ni mmoja ya mashabiki wake wakubwa Katika mpira wa miguu kutokana na Uwezo wake na Ufundi alio kuwa nao. Lakini Binafsi naona Mambo yamebadirika kwa Neymar JR Kitu kinacho nipa Mashaka kuona kama NEYMAR JR anaweza Kurudi kwenye Ubora wake ambao tumemzoea
Neyma Ameongozeka Uzito na amekuwa mnene sanaa ukilinganisha na zamani. Sote tunafahamu changamoto kubwa katika kupunguza Unene na kufanya urudi katika hali yako ya Kawaida. Je, Neymar JR Tutegemee nini Toka kwake?
PICHA ZA SASA
Linganisha na PICHA ZA ZAMANI