Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,591 Reaction score 6,946 Feb 18, 2018 #21 PSG wakiendelea kumuangalia Neimar kutaka matokeo kwao itakuwa ngumu sana labda acheze then atoke aingie mapafu ya mbwa DI MARIA hapo mpira utanoga ila Neimar wamefungwa anazidi kukaa na mpira na kupoteza muda utegemee kuwatoa madrid!!
PSG wakiendelea kumuangalia Neimar kutaka matokeo kwao itakuwa ngumu sana labda acheze then atoke aingie mapafu ya mbwa DI MARIA hapo mpira utanoga ila Neimar wamefungwa anazidi kukaa na mpira na kupoteza muda utegemee kuwatoa madrid!!