Neymar Kijana anayechukiwa na wanazi hahaha

PSG wakiendelea kumuangalia Neimar kutaka matokeo kwao itakuwa ngumu sana labda acheze then atoke aingie mapafu ya mbwa DI MARIA hapo mpira utanoga ila Neimar wamefungwa anazidi kukaa na mpira na kupoteza muda utegemee kuwatoa madrid!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…