Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
PSG wakiendelea kumuangalia Neimar kutaka matokeo kwao itakuwa ngumu sana labda acheze then atoke aingie mapafu ya mbwa DI MARIA hapo mpira utanoga ila Neimar wamefungwa anazidi kukaa na mpira na kupoteza muda utegemee kuwatoa madrid!!