Sir_Finus
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 330
- 139
kwa mahesabu ya kawaida kabisa Kijana wa kibrazil umri wa miaka 25 kwa sasa tangu asajiliwe na PSG anaingiza kiasi cha 1.6B Tsh kwa wiki
kwa hiyo kwa siku anaingiza 220m Tsh (imekuwa rounded off)
kwa saa moja 9m
na kwa kila dakika ni 152,000/= Tsh
na kila sekunde ni rounded kama 2,500/= Tsh
Kwa hiyo kila sekunde anakula mwekundu na nusu kwa muda wa miaka mitano ya mkataba wake pale PSG...
Nawaza kwa mbali mtanzania ukiwa unakula hii kandarasi ni kipi utafanya...
MIMI NANUNUA BOMBADIER NISHINDANE NA MKULU, HALAFU NAFUNGUA MRADI WA MAHOSTELI PEMBENI YA YALE YA MKULU NA ANZISHA PROJECT YA TRENI YA UMEME KUELEKEA KENYA (JOKES)
ILA HUU MSHIKO MREFU SANA...
ACHA TUISHIE KUUANDIKA TU..
MTANZANIA MATAWI
Mwezi: 5,000,000/= Hapa unafanya BOT au Taasisi inayolipa poa
Siku: 167,000/=
Saa: 6,900/=
Dakika: 115/=
Sekunde: 1.9/=
Shilingi yako moja kwa sekunde na bado unatuwekea tinted mtaa na Range lazima upite nayo kutumwagia maji machafu na hata mambo yetu huksanyiki nasi..
vipi ukipata buku 2 jero
MODERATOR NAOMBA MMBADILISHE TITLE MUWEKE 2,500 SIO 15k
kwa hiyo kwa siku anaingiza 220m Tsh (imekuwa rounded off)
kwa saa moja 9m
na kwa kila dakika ni 152,000/= Tsh
na kila sekunde ni rounded kama 2,500/= Tsh
Kwa hiyo kila sekunde anakula mwekundu na nusu kwa muda wa miaka mitano ya mkataba wake pale PSG...
Nawaza kwa mbali mtanzania ukiwa unakula hii kandarasi ni kipi utafanya...
MIMI NANUNUA BOMBADIER NISHINDANE NA MKULU, HALAFU NAFUNGUA MRADI WA MAHOSTELI PEMBENI YA YALE YA MKULU NA ANZISHA PROJECT YA TRENI YA UMEME KUELEKEA KENYA (JOKES)
ILA HUU MSHIKO MREFU SANA...
ACHA TUISHIE KUUANDIKA TU..
MTANZANIA MATAWI
Mwezi: 5,000,000/= Hapa unafanya BOT au Taasisi inayolipa poa
Siku: 167,000/=
Saa: 6,900/=
Dakika: 115/=
Sekunde: 1.9/=
Shilingi yako moja kwa sekunde na bado unatuwekea tinted mtaa na Range lazima upite nayo kutumwagia maji machafu na hata mambo yetu huksanyiki nasi..
vipi ukipata buku 2 jero
MODERATOR NAOMBA MMBADILISHE TITLE MUWEKE 2,500 SIO 15k