NEYO & Diamond UK Tour hii hapa

mbona alikiba kaimba na neyo hamuongei tafuta unaitwa one stand
 
Ukitaka kujua sisi watz ni wachawi subiri comment za watu juu ya hili.
 
Tumebaki kufanya kick tu ili majina yawe hewani but tumeanza kusahau kufanya mziki uliobora ili ulingane na kick

Viva Diamond & Kiba but msibase saana kwenye Kick coz kwa level mliofikia kick yenu kubwa ni mziki mzuri [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] baada ya hiyo tour tunasubiri Tour ya Chris brown & Kiba[emoji6] [emoji6]
 
Hii si ilikuwa December nini kimetokea tena?!
 
Surpassing..............😎😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…